Hii habari nilipoisoma binafsi nikicheka sana, ni ya ukweli kabisa...
Jamaa kapigana na "mungu" na akamshinda, kama hiyo haitoshi kuwa janga. Jamaa kamshinda "mungu" kwa kupitisha mkono na...
"I pray for single mothers. May you learn and understand that you are not worthless simply because you've been deflowered & left with beautiful seedlings.
Those children are gifts, & men such as...
Guest user wale wanaoingia jamii forum kwa kuibia bila kuwa na ID huwa wanajiuliza sana huko waliko hivi huyu Zero IQ ni nani?
Mbona anazimenya sana mbunye hana kazi za kufanya nini kila uzi...
Mara yako ya mwisho kula chipsi mayai ilikuwa lini?
Maana Kiwanda changu cha kuchakata viazi kuwa chipsi siku hizi wateja wakubwa ni wa kike tu wa kiume wachache sanaa.
Cc Zero IQ
Mimi kuna moderator anaitwa Moderator huyu bwana nadhani anaongoza kufuta nyuzi zangu, kuna uzi mmoja niliandika siku nyingi nahisi aliufuta yeye japo nilichokiandika nilikuwa na uhakika nacho na...
Jina alilopewa na wazazi wake ni Nkemi Owoh, alizaliwa mwaka 1958. Alisoma Engineering University na alianza kuigiza akiwa mwanafunzi. Nkemi ana kipaji cha kuchekesha hata script iweje ataweza...
Hakika waungwa hii kitu huwa naipa ratiba ya kila mwezi mara 4 it means per week mara 1...Huwa ninaifurahia sana pindi ninapofanya hii kitu na nimejaribu kuiacha sijaweza katu...
Ila nimeamua...
Habari zenu wakuu!yeyote anaeweza kuwa anafahamu/kuuza NYUMBA wilayani kasulu(kasulu mjini) naomba anifahamishe.nyumba kuanzia vyumba vitatu na iwe na choo cha ndani.Anifahamishe tu eneo aliko na...
Kuna sehemu nimelipata hili wadau nikaona nililete hapa jamvini kwamba eti ukihonga elfu 10 ni sawa na
1.Kuku nyama1
2.Nyama ya ng'ombe 1.5kg
3.Sukari 3kg
4.Mchele super 4kg
5.Maziwa ng'ombe...
Class 1
Ticha: Zumbukuku nikikupa mandazi sita kisha nikachukua mandazi yote sita utabaki na nini?
Zumbukuku: nitabaki na harufu na mafuta ya mandazi mkononi.
Class 2
Ticha: kama MTU tajiri...
Wakuu habari za leo..
Mchana wa leo nilikwenda ofisi ya Manispaa kwa minajili ya kuonana na mtu fulani personally..
Kwa vile majengo yapo mengi na ofisi ni nyingi ilinipa nafasi ya kupita na...
Taja sifa za wanaume mweusi.
--Mbavu nene,
--Mashababu hawachagui kazi
--marijari "Hakuna shoga Mweusi"
--Wanajiamini sana
--sio mchele mchele.
--Ukisusa tu yeye anakula
--Achagui location...
Anayejielewa kuwa ni mwanaume sio wa kuonesha misuli kujionesha yeye mwanaume
Awe yule anayefanya kazi za kiume kwelikweli hata kama ni Boss
Raha sana kumuona mwanaume ameinama mvunguni au anapiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.