JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hawa wahenga wanachuana kwa stori za mikasa isiyoisha ya mahusiano yenye maudhui yafuatayo: 1.Wao ni vidume na daima wanagongea wenzao na kujifanya kuomba ushauri wa kuwaonea huruma huku wakijitoa...
6 Reactions
38 Replies
3K Views
Hey fam hope mpo pouwaaaaa........ Heri ya mwaka mpyaaa kwenu nyoteee[emoji1488] Jaman kwa wale ambao mshawahi date ma black american hivi haya mambo ya shawatokeaa?? Manake mambembe naanza...
1 Reactions
77 Replies
5K Views
Malezi ni kitu kipana sana ambacho kinahusisha uhusiano wa mtoto, wazazi pamoja na mifumo ya kijamii,kiuchumi na hata mifumo ya kisiasa inayowazunguka. Kijamii: Malezi ya mtoto yanachangiwa...
0 Reactions
2 Replies
538 Views
Jamani mupooooooo???? nimewamiss mpaka nahisi kufwa kufwa Anyway bwana week hii nilikuwa chocho tunafanya yetu si mnajuaa mambembe na mkuyati yaan mimi bila dyudyu siwez kuishi,basi bwana...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Vijana wenzangu usipokula raha katika dunia yetu hii ukishakufa haupati tena nafasi nyingine tena mababu nao wamestuka wanakula maisha raha mustarehe wana enjoy good life...
2 Reactions
2 Replies
821 Views
Kiufupi niliwamis sana kiasi ya kwamba hata kuelezea siwezi, ila naimani tuliokuwa nao mwaka Jana Mungu awabariki sana.. Pia niseme kwa wale wenzetu ambao tulikuwa nao kwa namna moja au nyingi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
INAVYOTOKEA WAKATI WA UNYWAJI WA BIA Chupa ya bia 🍾 ya kwanza huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza koo... Na mara nyingi huwa mkimya...
3 Reactions
49 Replies
4K Views
Kwangu mimi kiitikio “chorus” bora zaidi ya muda wote ni chorus aliyofanya Rihanna kwenye ngoma ya TI ya “Live your Life” Chorus hii ya LIVE YOUR LIFE kwangu ndo bora zaidi na sijawahi ona tena...
5 Reactions
60 Replies
6K Views
Kama walivyo vijana wengi na Mimi nimepanga Chumba mitaa fulani hapahapa mjini dar.nawakaribisha wote kunitembelea Nimekuletea picha za chumba changu.chumba changu kimsingi kina vitu vingi kama...
8 Reactions
220 Replies
22K Views
Kwa namna ya pekee naomba kukutakia maisha haya tuliyo nayo mafupi kwanza Furaha Amani Upendo Ulinzi Mafanikio Na baraka tele zitokazo kwa Mungu wetu. Happy birthday dada yangu Sakayo
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Happy born day Sakayo wa T Nimefikiria sana maneno mazuri ya kuanza kuandika ujumbe huu wa kukutakia heri ya za siku hii muhimu kwako.. I ’m so lucky that I have such a beautiful and precious...
15 Reactions
725 Replies
44K Views
mpenzi wako akikwambia i love you na wewe mwambie i love ton usikubali mwenzako aseme uongo peke yake
0 Reactions
0 Replies
930 Views
O...! Oi,,Inakuaje wajuba humu ndichi?natumai mko Echu kabisaa,,niache perepete mingi acha nisololoe direct kwenye topic,,Juzi(Ijumaa)Tulianza rasmi mitihani ya Second semester chuoni yaani...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Wakuu hv inakuwaje ukienda club kupata demu rahisi sana. Nimeshuhudia club nyingi nilizoenda ukigusa tu tayari. Hawa watoto wa kike kama wamechanjiwa...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Hello guys habari za huko uliko! Leo ni tarehe 09 June ambayo katika miaka kadhaa nyuma iliyopita nilizaliwa, napenda kumshukuru Mungu, wazazi wangu, rafiki zangu na wana jamii forums wote kwa...
6 Reactions
44 Replies
3K Views
Toa sress kidogoo! Wanaume oyeeeee [emoji23][emoji23][emoji23] [emoji116][emoji116][emoji116] Mme na Mke walibishana kila mmoja akijigamba kuwa ana rafiki mzuri.Ili kumaliza ubishi,wakaamua...
10 Reactions
12 Replies
3K Views
Wewe ukitaka kujua wanawake/wanaume wangapi unepita nao hadi sasa na umejiunga JF zamani anza PM ya kwanza kuja juu. Ukitaka kuwajua kwa picha zama dropbox kama unayo.....kama haufuti. Ingia...
5 Reactions
43 Replies
3K Views
Walah, Mondi jifunze kwa huyu jamaa, ukweli mchungu yeye ndo kakubeba huu wimbo. Toka umeanza kuimba huu ndio wimbo wa pili kuupenda, kuudawnload na kuusikiliza, wa kwanza ulikuwaga "NITAREJEA"
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Whether ni kipara au kipala, salamu kwa wale hasa ambao wako chini ya miaka 30 lakni nywele za kichogoni na mbele zineisha au kudhoofika. Tuko pamoja katika hili,, usipoteze muda huwezi kutibu...
10 Reactions
56 Replies
7K Views
Back
Top Bottom