Ndugu zangu wa Morogoro tujuwane hapa
Wale wa kihonda, mafisa, kilakala, kichangani, mwembesongo, mafiga, chamwino, mji mpya, mazimbu, mkundi, azimio, na mitaa yote nilioisahau
Ndugu zangu wa Morogoro tujuwane hapa
Wale wa kihonda, mafisa, kilakala, kichangani, mwembesongo, mafiga, chamwino, mji mpya, mazimbu, mkundi, azimio, na mitaa yote nilioisahau
Aman iwe nanyi wapendwa
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Karbun kwenye intavyuuu leo tunaenda kumuintavyuu kaka yetu bak wa jukwaa la siasa,
Utaratibu kila mtu anaruhusiwa...
Ukitaka upate chochote kutoka kwa mtu unaehisi unampenda pana vitu viwili vya kufanya.
1) JIPIME UNA HAKI YA KUPENDWA NA YEYE
Mapenzi ni nguvu ya uvutano wa kihisia . hayachagui wala hayabagui ...
*NAWAKUMBUSHA TU!!!*
*Ni bei ya.......*
1. Sato kilo 1
2. Kuku 1 wa nyama
3. Kilo 1.5 za nyama ya ng'ombe
4. Sukari kilo 3
5. Donna kilo 6
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya ng'ombe lita 4...
Naam, naona vitu mbalimbali vinakatazwa. Natumaini kwa kizazi kijacho hawatajua nini maana ya Rambo wala viroba.
Hivyo naishauri serikali vitu hivi viwekwe Makumbusho, natumaini vitaongeza pato...
Wanaume wooote wa Jamii Forum tukutane hapa kubadilishana mawili matatu na kujadili mambo yetu ya kiume,
NB: Wanawake nyie kuweni ma observers tu, Msichangie chochote humu
Nasikia kuna baadhi ya minjemba ikimpa ofa mwanamke, inamwekea kiujanja mkojo ndani ya kinywaji anywacho (mostly kwenye vileo). Baada ya hapo binti anakuwa taabani na jamaa anatumia fursa hiyo...
Kama tittle inavyojieleza Mwanaume kufanya yafuatayo haipendezi:-
1) Kuwa mbeya au kushiriki umbea kwa namna yoyote aidha kwa kukusudia au kwa kutokusudia.
2) Kutumia maneno haya:-...
Habari ya kazi ndugu zangu
Kama kicha kinavyoeleza hapo juu,Nimekaa nimetathimini kwa hakika kiasi nikaona mke wa muhimu kwetu vijana.
Jana nmetoka zangu kazini nkaingia kuoga kama kawaida...
Wapendwa leo kuna tukio la kuhuzunisha limenitokea. Nilikuwa nimesimama maeneo ya Ubungo nikisubiri gari, ghafla nikamuona mama mtu mzima analia kwa sauti kubwa, mda huo huo nilikuwa nimeshika...
waungwana, kama mnavyojua swala la ajira limesha kuwa tete kwa vijana walio wengi na kupelekea msongo wa mawazo kwa wengi wao.
ili kumnusuru huyu bwana mdogo ambaye anashindwa kutwa humu kupost...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.