Hi guys,
me naukumbuka huu, "hesabu ni nzuri sana weeee mwalimu nifundishe siwezi kusahau ee mwalimu ee mwalimu nifundishe"
mwingine "a e i o u hizi ni herufi kuu, tamka kwa sauti kuu, hizi a e...
Wiki ijayo nimepanga kwenda mkoa flani wenye baridi naenda kwa shughuli zangu binafsi but kuna single mom mmoja nilimpata huko mwezi wa kwanza sasa nimemwambia nakuja next week kaanza kuagiza bidhaa
Nilisikia Kuna tajiri fulani alikuwa mzungu Akawa amekodi nyumba anaishi peke yake na katika moja ya chumba alifuga lijoka kubwa ambalo kila baada ya siku kadhaa lilikuwa linahitaji nyama.sasa...
Wakuu,
Jioni njema. Ndauli? Wamisha khinehe, mwadila, mapembelo,aslam aleykum etc. I hooe wote tuko poa,
Kama kuna mkuu yeyote as we speaking he/she is currently here at the calabash kama yuko...
Mfano baba anakuuliza eti hivi kwa nini nilikuzaa?hapo unajibuje sasa.
Au dem anakuuliza hivi nilikupendea nini??au mtu anakuuliza eti wewe ni me au ke?ili iweje sasa.
Ongezea swali lolote...
Nilikuwa nauliza vipi ile party ya wana Jf mwaka Jana vipi ilifanyika.. Maana kitambo sijaingia humu ndani istoshe nilikuwa naskia tu tetesi oooh sijui mshana alijigeuza nyaya za spika akaingia...
Jana Nilikuwa University Moja hapa Nchini, Nilikuwa darasa moja nikifundisha Software Moja hivi (Master Series).. Kama kawaida ilikuwa lecture ya masaa mawili tu..
Kwa kuwa nilikuwa na...
Jamani, mwenye contacts za Dr. Elias J. Muganyizi naomba anipatie, mara ya mwisho nilionana naye kwenye kinyang'anyiro cha kura za maoni katika mchakato wa Uchaguzi Mkuu uliopita Jimboni Karagwe...
Kusema ile kweli kwa sasa hali imekuwa tete mi mpiga dili juzi tu nimetoka kuchukua kitambulisho cha ujasiriamali ingawa hali ni tete,
Zamani nilikuwa nauza chipsi mpaka nakimbia wateja ila...
Wafanya biashara wanajitahidi sana ili kumaliza mifuko ya plastic kabla ya tarehe moja...
Nimeenda dukani kununua vocha ya jero nikawekewa kwenye mfuko..[emoji1787][emoji1787]
Mnakumbuka makanyagio vizuri,maana ni sehemu ambayo watu wengi tulikuwa tunapata mahitaji yetu mengi,hasa vitumbua kwa wale waliokuwa wanatoka kwenye familia zilizo na uwezo.
Ulanzi kwa sana siku...
Leo nimeamua kushea nanyi wanajukwaa ,hadithi fupi ya jamaa yangu Baba Peter na ningependa kwenye uzi huu atambulike kama Baba Peter.Kwa kifupi baba Peter ni mtu wa masanga/pombe/ulabu na...
Leo nimeenda dukani kununua vocha ya jero.si muuzaji akaniwekea kwenye rambo la 200!!!😂😂.badae kidogo nikamtuma dogo sukari robo,na yeye akafungashiwa kwenye vifuko vya Mia Mia vitatu.😂😂😂😂
🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃.
Mko kidato cha nne, headmaster anawaambia St Nicholas imetioa full scholarship kwa mwanafunzi
atakae pata alama za juu kuliko wote.
Unafahamu kuwa Allan ni kipanga kuliko wewe. Allan akiwemo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.