Naam kama ilivyo ada Leo kichenza nimeamua kujianika na kujieleza kwa undani mimi ni nani kwa wasio nifahamu..
Jina halisi naitwa kichenza kichenzule
Ni muhitimu wa Harvard university nimesomea...
Hivi ni mimi tu peke yangu au kuna na wengine humu,
Ni ule wakati najiandaa kwenda kuoga najikuta niko fresh hakuna mkojo wa ile haja kubwa kuuma lakini nikitimba bafuni tu either mkojo unibane...
Hakika kheri na baraka ni zake Mwenyezi Mungu, kwa kutuwezesha kufika hapa tulipo...
Mwenyezi Mungu, awape kheri na baraka wazazi wetu kwa kuweza kutulea na kutufunza mema maishani mwetu...
Nimekumbuka enzi hizo naishi na mama wa kambo nilipitia shida sana kupigwa bila kosa ilikua kawaida sana kupitisha siku nzima dry bila kula ilikua normally sana
Nakumbuka ilikua nikifaulu...
Kuna watu wamejaliiwa kuzungumza, yani mnaweza kukaa mahala akawa anaongea yeye tuu muda wote.
Kiukweli hawa watu wanaboa hasa ukutane na yule mjuaji na mbishi yani ukitaka kumuongelesha tuu...
Mabaharia tu ile papuchi uliyoigonga kwa bei nafuu zaidi uliigonga kwa shilingi ngapi?
Binafsi papuchi niliyoichapa kwa bei nafuu zaidi ni shilingi elfu 2,
dodoma pale maeneo ya huindini mzee...
Wana bodi, Leo Nimeona tujadili Wana jf ambao walivuma Sana ila siku hizi wako kimya Sana
Tunataja Kwa Jukwaa
Jukwaa la Mmu - Lara 1
Jukwaa la wakubwa -boflo, asakuta same,
Jukwaa la elimu...
Wakuu unajua JF bila kuwa na msimamo itavunjika. Ni lazma kama Great Thinkers tuwe na msimamo. Sio mambo yanatokea yaniashia juu juu bila kufanya conclusion yoyote. JF inakuwa haina maana kabisa...
Zamani hizo muda kama huu babu ameshaninunulia nguo za sikukuu kuanzia za kuendea kanisani Alhamis kuu mpaka za Easter Monday.
Sasa hivi naishia kutamani tu. Siwezi hata kuvaa nguo mpya kwenye...
Kuanzia sasa nikiwa nawaita Waandishi wa Habari mje mnipige Picha mkichelewa tu hata Sekunde chache eneo la tukio basi nitakuwa najipiga Picha mwenyewe na nazisambaza katika Media na Social...
umeshawahi kuwa na pesa halafu ukawa hujui utumie nini? nahisi nataka nitumie lakini sioni nitumie wapi. nimewaza mpka kichwa kina uma 😇😇😎 kuwa na pesa nayo tabu kweli 😆
Wakuu mpo salama!
Sawa sawa kama mpo salama nisiwapotezee muda. Nianze kwa kuwarudisha nyuma. Mimi jamii yangu nilikotoka tumegawanyika katika koo.
Na hizi koo kila moja inasifa yake. Nitazipa...
KAMATI YA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA UBINGWA WA SSC
MC -Mwinyi Zahera
DJ-Masau Bwire
VINYWAJI-Azam
KUNI-Mbao fc
KUOSHA VYOMBO NA KUPIKA CHAKULA-Yanga
MUZIKI-Mtibwa na Mbeya city
ULINZI - Prisons...
Tulioko macho tusomane
Mi nko Iringa kwene chimbo moja hivi local sana wanaita holiday nakula vyangu na kuongeza idadi ya dhambi
We uko wap na unafanya nini?
Ikitokea tupo location moko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.