JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
*Mambo ni mengi muda ni mfupi*. Hujamaliza Kuuza Korosho wala kusikiliza ripoti ya CAG, Unasikia ya Liverpool kumtoa barca *Manara* Kuhamia yanga[emoji848] Mara Mdude Chadema katekwa...
1 Reactions
5 Replies
899 Views
Naomba kuwasilisha [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Yaani kwa mfano ingekuwa chini ya ID ya mtu inakaa kazi yake anayofanya au knowledge aliyosomea kwenye field fulani ili tuwe tunapokea ushauri au maoni ambao kidogo una uhakika Let's say "ndege...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Uko zako unatembea mara pap! Anatokea mwanajeshi na bunduki mkononi anakuamrisha, simama!! Ghafla bin vuu anatokea mchungaji na bible mkononi anakuamrisha kwa jina la yesu, hakuna kusimama!! Je...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Nakupenda Manengelo. Jana nilijaribu kukutongoza PM ila kabla sijaanza hukujibu hata salamu. Nikiona reply yako au like yako mzunguko wa damu unakuwa mwingi sana kuelekea kwenye uume wangu na...
11 Reactions
470 Replies
31K Views
Please give me a chance So I can make my confession Or do I was wrong? Won't you please overrule your objection And give me one chance So that I can make things up with you I must apologize Cause...
1 Reactions
9 Replies
885 Views
Hapo zamani za kale rais Barack Obama wa Marekani aliwahi kumtembelea rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Kikwete katika hospital aliyofikia wakati amekwenda kutibiwa USA ili...
7 Reactions
16 Replies
2K Views
Kwa hizi mvua zinazoendelea heshima kwenu wenye magari.
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Salaam kwenu wakuu!! Kuna kitu nimekuwa nikijiuliza lakini sipati jibu, ila nikaona ni vyema kuwashirikisha ili tuweze kujadili kwa pamoja. Jambo ambalo limekuwa likinitatiza ni kuhusa hawa...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari za majukumu wana jamvi Tigo kifulushi cha usiku kilichokua GB4 kimekua GB2 Daaaah tigo shkamoooo Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Wabongo washapinda hahahaha
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Hii nimeikuta hapa Dar es Salaam, unakuta mwanaume anamuita mwanaume mwenzake baba flani na wanaona sawa tu. Kama mimi mtu unakuta mwanaume mwenzangu ananiita baba Nyangwegwe, au baba Kazurungu...
2 Reactions
64 Replies
6K Views
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Sijawahi kuona au kumsikia Mzungu ukikutaka nae sehemu yoyote ile akawa ama anapenda ujue Kiwango chake cha Elimu au awe ' anajifaragua / anaringia ' nayo ila kwa Waafrika hasa Watanzania yaani...
6 Reactions
55 Replies
5K Views
Sorry Sana kwa wale ntakao wagusa leo nilikua napitia video huko YouTube nikakutana na video moja ikimuonyesha ZARI akiwa anasubiriwa na maandamano ya watu eneo la mlimani City chaajabu ni Kwamba...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Mara nyingi utasikia wakamatwa wakifanya ngono, mara nyingine wakifanya mapenzi, sasa tofauti ya maneno haya ni nini? najua wengine wanafikiri ngono ni ile isiyo halali, lakini hata mapenzi yapo...
0 Reactions
16 Replies
13K Views
Hamjalala?
0 Reactions
0 Replies
347 Views
Wiki mbili zilizopita Balozi za Nchi za Magharibi walitoa tuzo ya Ushujaa kwa Wanaharakati wanaotumia social media, ktk tuzo zile hakuwepo mwanachama hata moja wa Chama Cha Mapinduzi karibu watu...
0 Reactions
8 Replies
864 Views
Nimekuja kutembea kidogo arusha niambieni viwanja gan vizuri ambapo naweza hata ona warembo jamani Kama wewe mrembo na uko arachuga njoo pm nikuelekeze nilipo tukale bata kidogo. Strictly...
0 Reactions
47 Replies
9K Views
Acheni kumwonea wivu mchunga kondoo. Mpaka mnaedit video. Watanzania acheni hizo aiseeh. Nb: Huyo pembeni ni mkewe sio bodyguard
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…