Kesho ni siku ya wafanyakazi Duniani na mgeni rasmi ni ráis JPM mkoani mbeya,tutabiri yatayozungumzwa .
--Uhakiki umebaki na ukimalizika ataongeza mshahara kweli kweli tumpe muda.
--Mishahara hewa...
Hii tabia ya baadhi ya members Ku reply bila kuweka na kareaction kokote ni roho mbaya tu zinawasumbua.
Tujitahidi jamani kusambaza upendo wakati wa kureply.kuweka reaction yoyote.iwe ya...
Niende kwenye mada kabisa maana sihitaji kusalimia kwakua muda huu wasomaji mmeshalala..hahahah "im kidding"
Nimekua mfuatiliaji na msikilizaji mzuri sana wa vipindi vya michezo redioni hasa vya...
Nikiri tu yakuwa miaka mingi iliyopita mimi nilikuwa mshamba sana wa magari kuazia gari moshi na mabasi ya mikoani.
Siku moja nasafiri kutoka Arusha kuja Dar na basi maarufu sana kipindi hicho...
Yan kati ya stage ambayonais kijana yeyote huwa anaipitia ni hiii,
Na kifuatacho apo ni mwendo wa puli tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tanzania katika Umri huu wa Taifa letu , tu Najua Au tu nahisi kuna Baadhi ya viongozi wetu wakuu wa taifa(Maraisi)!walilazimishiwa na tume ya uchaguzi na sio waliochaguliwa na wananchi na kuna...
Mkoa mmoja ndani ya Kanda ya ziwa, wikendi kama hizi hukosi kusikia kelele za muziki wa kikopo(kipazasauti) na spika kubwa iliowekwa juu ya pipa na kuninginizwa kidogo juu ili mdundo upatikane...
Habari za mda wa mechi ya young Africans na Azam
Nipo hapa kuuliz members kuwa Yuko wapi The list ameadimika Sana .
Amekuwa haonekani jukwaani Kwa mda mrefu hadi zikazuka za Chichi kuwa eti The...
Habarini zenu mimi naitwa SEME nipo makete natafuta mke wa kuoa sifa :-
-Awe na hofu ya mungu
-Awe na chura aka mzigo
-Awe na swaga kali kwa maana me naendaga maeneo nakutana na watu wa maana...
Kulikuwa na mzee mmoja ambaye alikuwa tajiri sana, Mzee huyu alibahatika kuwa na binti mmoja na ambaye alimpenda sana na hata kumwandika kuwa mrithi wa mali zake zote pindi mzee atakapoiaga...
Habari wakuu! Matumani yangu mpo poa kabisa.
Kwanza kabisa nimekuta na mambo mawili ya ajabu hapa duniani
Jambo la kwanza.
KUMEKUWA NA UHITAJI WA PAKA MWEUPE ASIYE NA DOA (Bei yake ilikuwa 3.5...
Wasalaam wana chit chat wote
Namuulizia huyu mamake yupo wapi mana kimya sana almost week au week mbili hazijaonekana mbwembwe zake kwenye jukwaa. Kama mtu ana taarifa zake sio mbaya akatujuza...
*Mwanaume_ni_nani...!!!?*
Mwanaume ni kiumbe cha pekee sana hapa Duniani, kuliko kiumbe chochote...!!
Mwanaume anaweza kumuacha mwanamke aliyemfumania kisha akaoa mwanamke aliyeachwa kwa kosa la...
Wandugu namtafuta huyu ndugu yangu,
Sijamuona jukwaani muda mrefu na hata simu zake hazipatikani.
Ambaye anajua alipo naomba amwambie kaka yake amemkumbuka sana anitafute.
Wick , Hussein Melkiory
Najua mko powah wote.
Moja kwa moja niende kwenye kastore kangu nilipokuwa mdogo.
Mimi nakumbuka nilipokuwa mdogo mgeni akija nyumbani ilibidi wawe wananifungia chumbani maana wakimnunuria soda...