Hi friends,
nimemiss sana kukutana na kupata marafiki wapya!!
mtu yoyoyte mwenye hitaji kama langu au anayependa kukutana na kufahamiana na mtu mpya katika maisha yake naomba ni PM tufahamiane...
Binafsi namuelewa sana Profesa. Ni mtu anayejua kusimamia anachoamini hata kama wengi hawamuelewi. Sio rahisi kwanza Profesa kueleweka na kila mtu isipokuwa sisi wachache wenye maono.
Sasa, mambo...
Kwa yeyote yule aliyekwsiha kukaa karibu na mnywaji/wanywaji pombe, mtanielewa/mtaelewa pale kinywaji kinapo anza kumwagika mdomoni na siri zinapoanza kutoka nje.
Huu ni ukweli kwa wale tunao...
Nimefanya uchunguzi nimegundua wanaume ambao hawajihusishi na maswala ya mahusiano Wana furaha Sana ndani ya mioyo yao.hawana mawazo Sana na Wala hawana magonjwa ya moyo na pia hawana stress.hata...
Huu ni uzi special kabisa kwa watu wenye siku mbaya..au mambo hayajaenda vizuri kwenye siku husika,unaruhusiwa kuja hapa na kutema nyongoo zako mods wataelewa tu.....
Karibunii
Sent using Jamii...
Habarini za mida wana JF.
Hivi ulishawahi ku note hiki kitu hasa kwa wanaume, ulishawahi kuwa unapita maybe kwenye njia fulani halafu uko na wenzio au kuna watu wanakuja either mbele yako au nyuma...
Kukaa single muda mrefu kunaleta karoho Fulani ka Husda hivi. Hii kapo naionea wivu live. Inanikumbusha enzi Niko in love na my college sweetheart.
Haki kubebishana kwao kumenifanya nigutuke...
Habarini za mida wana JF.
Hivi ulishawahi ku note hiki kitu hasa kwa wanaume, ulishawahi kuwa unapita maybe kwenye njia fulani halafu uko na wenzio au kuna watu wanakuja either mbele yako au nyuma...
Nipo hapa maeneo ya Upanga nakula chakula cha vijana
Yaani chips kavu na mishikaki karibuni sana kama jasho la mtu laliwa bure
Asante sana kwa kunisoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau kwema humu,
Jana Jumamos, majira ya saa 12 jioni nikiwa nimevuka kutoka Kigamboni kumsalimia Baba wa rafiki yangu ambaye ni mgonjwa. Nikasimama mahala kununua maji ya kunywa, nikiwa nanunua...
Aidha unakubali au hautaki. Hizi mbio za kukimbizana kama njiwa zinakuwa nyingi kichizi halafu zinakera.
Nikikutongoza angalau zisipite siku tatu, sana sana labda nikikutokea Ijumaa kabla ya...
Hodi humu jamani!!!
Msishangae kuja usiku wa manane.
Yamenifika hapaaaa!!!
Kila nikilala usingizi hauji.
Khaaa!!!!
Sasa leo mie ujio wangu nimekuja na jambo moja tu kuhusu baadhi ya wanaume wa...
Mara tu baada ya kupata/Kula chakula chako Lunch au dinner unapendelea kushushia na kinywaji gani?
Binafsi napendelea kuywa Pepsi au Coke ya Baridi kabisaa.
CC Zero IQ
DUNIA NA VIPINDI VYAKE, ILIPOANZIA, ILIPO NA INAPOELEKEA.
SEHEMU YA PILI
DUNIA NA MAHALI ILIPOANZIA
BWANA alipomuumba Adamu alimweka kuwa mtawala na msimamizi wa dunia na viumbe vyote vyenye...
1. Mafisadi wote na wahujumu wa nchi
2. Wanasiasa wanaopandikiza sera za chuki za udini
3. Maafisa ardhi wanaouza eneo moja la ardhi kwa zaidi ya mtu mmoja
4. Manesi, wauguzi na madaktari...