JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kama mnavyojua kuna baadhi ya wazee wetu (baba) walikuwa na majina ya utani kutokana tu na kile walichokuwa wanapendelea kukifanya kitaani, Je wewe mzee wako alikuwa na jina gani la utani? Mi...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Wakuu Mimi ni kijana ambaye nikiwa natembea barabara huwa napenda Sana kuji reconnect na vitu nature mfano huu mwezi.ndio maana nimekuwa na Spirit kubwa ya kushuhudia mabadiliko napenda kuona wana...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Alipita mkapa nilikuwa sijanenepa,akaja kikwete na yeye katika enzi yake sikuwahi kunenepa,lakini toka Magufuli ashike nchi naona nazidi tu kunenepa na ngozi inazidi kunawiri.ila sio ule unene wa...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Nani humu JF ambaye una wish walau ufaham details zake kiundani kuhusu kazi yake,umri wake,wilaya na mtaa anaoishi,dini yake,ana familia ya Aina gani, partner wake,Mali zake,gari...
4 Reactions
263 Replies
14K Views
Kuwa na mpenzi mmoja ni hatari sana je akifa?
1 Reactions
7 Replies
2K Views
meddy kagere akipokea zawadi ya mchezaji bora wa mwezi wa ligi kuu bara anayekabidhi zawadi ni mtangazaji maarufu wa clouds Tv kipindi cha clouds 360 bibie Baby Kabaye (SISTER DRED) Behaviourist...
2 Reactions
60 Replies
6K Views
chezea team kuoshwa enzi hizoooo!!!! yani unapakwa soap mwili mzima then unasuguliwa mpaka basi! kweli mambo yanabadilika,, siku hizi hivi vitu vinapotea mdogo mdogo!! natamani kuwa kama mtoto...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tuliozaliwa kati miaka 1970 mpaka 1990 tuna bahati. Naweza sema ndio kizazi the best. Kuanzia malezi tumetoka tumeiva kimalezi. Mpaka sasa wazaliwa wa miaka hiyo wengi wao mpaka sasa wanakomaa na...
2 Reactions
1 Replies
657 Views
Nimeshajisajili na huduma hii ya kuangalia salary slip kupitia Computer, na nikiangalia kupitia computer huduma inapatika lakini nikitumia simu ya mkononi, sehemu zote nazotakiwa kujaza zinakubali...
1 Reactions
1 Replies
911 Views
Nimepoteza kitambulisho cha mpiga kura ila namba yake ninayo
0 Reactions
5 Replies
882 Views
Nimeleta huku ili tusitoe majibu kisiasa siasa. CHADEMA: Rais kasaini sheria mpya ya siasa na Tanzania inaenda kuwa Rwanda rasmi, ndio maana Polepole anasema vyama vingi havina maana CCM kinatosha...
0 Reactions
2 Replies
723 Views
Guest 30,000 Vinywaji na misosi 30,000 Usafiri 10,000 Kifuta jasho 30,000 Haraka haraka 100,000! Wacha nibaki njia kuu hio 100,000 najaza friji mapochopocho kibao.
41 Reactions
183 Replies
15K Views
Kwa wale mnaotembelea insta mara kwa mara hasa habari za mastaa na udaku wa hapa mjini mtakuwa mnaijua page ya The Original East. Nadhani baada ya page ya Mange Kimambi hii ndio page inayoshika...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Kwenu wakina Dada nawashauri muwe na chupi nyeupe nyingi kuliko rangi yoyote Hii itakufanya mambo yako yakunyookeee kwa 100% mwanamke ukiwa na chupi nyeusi nyekundu kijani njano kahawia...
5 Reactions
52 Replies
9K Views
Tukutane uwanja mpya wa Android hii na unaweza kuuliza chochote kuhusu android kama kawaida. Ninapoongelea android huwa naongelea mfumo mzima wa android katika simu janja. Pia tunatoa ushauri na...
1 Reactions
1 Replies
658 Views
Habari,refer to the heading Miezi ijayo nimepanga kwenda marekani kwa ajiri ya masomo,napenda kujifunza kiingereza cha kuongea haswa American English, ili kupata uzoefu natafuta rafiki wa kike kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni juzi juzi tu sio siku nyingi nilitoka mwanza kuja dom kuchek mishe si unajua tena life sio kukaa na kukalili sehemu moja Mambo sio mambo jana yakawa mambo mtoto wa kitaa nimekutana na bonge...
17 Reactions
251 Replies
18K Views
Wakuu samahani kwa kuwasumbua.demu wangu nilikuwa nimemkosea kidogo Leo mchana alitaka nimtumie 10000 na Mimi sikuwa nayo/Sina. Sasa nikawa nampigia simu nimuombe msamaha.akawa hapokei akaja...
3 Reactions
99 Replies
8K Views
Baadhi ya wanafunzi mashuleni hupenda kuwa maarufu na wengine hujikuta wamepata umaarufu bila kutegemea. Umaarufu huu unaweza kuletwa na kitu/tabia nzuri au mbaya Endapo ndiyo. Ni kitu gani...
4 Reactions
344 Replies
24K Views
Wezi/majambazi baada yakuona kuna shida kidogo kuingia ndani kutoka na milango yetu na madirisha kuwa imara wameamua kuja na mbinu mbadala kabisa, kiasi kwamba mbinu hii itawafanya kuwarahisishia...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom