huku mtaani imekua kama vijembe kina mama wana lalamika hakuna wanaume waoaji,nasi pia tuma lalamika hakuna wanawake wakuoa ivi hichi kizazi kitaishia wapi ,single parents ina chukua nafasi ya...
Aisee Kuna watu sijui niseme Ni elimu ndogo au Ni imani tu potofu kukithiri akilini eti mtu anakusimulia visa vya kichawi kwamba Kuna watu Wana uwezo wa kuzuia mvua kunyesha.jamani elimikeni nyie...
Nisiwe mnafiki kabisa yani bado sijaipata hiyo furaha ya taifa star kushinda mechi dhidi ya Uganda jana! Wenzangu kipi kimekufurahisha sana juu ya wao kushinda kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za mda huu wakuu?
Ni jumamosi njema na takatifu kwangu kwakua tarehe Kama ya Leo miaka kadhaa iliyopita nilizaliwa mm hapa .
Sina mengi zaidi napenda kuualika katika tafrija hii...
Ulale pema bk wa TMK mapanga
ulale pema Steve 2 k, fadha nelly langa
ulale pema Albert mangwair,John mjema mapacha, Ni njia Moja tunayoelekea nitafuata
ulale pema remmy ongala kweli kifo hakina...
Tuwasaidie tu hawa wanachitchat na Wana MMU wenzetu kuwaonyesha wanaolandana nao.
Ukiwa member wa MMU technically unaangukia kuwa member wa chitchat..la sivyo jitangaze leo tukuvue uanachama...
Kutokana na Ratiba yangu kubana so Ni lazima nifanye mazoezi hasa hasa ya viungo..
Nakoga vizuri if kuna ratiba ya Kula BUMUNDA basi nalitafuna vizur kabisa..
Kila nikichanganya hizi Ratiba...
Habari&burudani Mapato TzLike Page
March 20 at 7:04 PM ·
Barua kutoka kwa marehemu mama kwa kijana wake siku ya 3 baada ya mazishi yake.
Mwanangu Mpendwa.
Napenda kujua kwa nini nimekufa kama...
Habari za Masiku Wanazuoni wenzangu, Kutokana na Majukumu Mengi Nashindwa kuwa Active Kila Muda Humu.
Kuna Pdf za Vitabu nimezipata ni Nzuri Mno hasa kwa wahandisi wa Ujenzi.. Kwa Mwenye Kufahamu...
Nimepita Bar kadhaa maeneo ya Tandika Mwembeyanga naona bei ya bia ni ile ile iliyozoeleka , sasa naomba mwenye kujua zinapouzwa nusu bei kama viongozi walivyotuaminisha anielekeze .
Kwa sababu leo, bei ya bia ni nusu bei kwa wakaazi wa jiji la Dar es salaam baada ya Taifa Stars kumfunga mwenye bomba la mafuta, basi tunaomba wale tutakaokunywa bia na kushindwa kufika kazini...
Kufuatia ushindi wa TAIFA STARS dhidi ya UGANDA kwenye hii michuano ya kufuzu kombe la mataifa afrika,kumezua tafrani mikoani baada ya mkuu wa mkoa wa DAR kuahidi kuwa endapo TANZANIA tutaifunga...
Hivi hizo milion kumi wanapewa timu nzima ya taifa star au ni wale waliocheza mechi tu na kama ata ni waliocheza mpira nahis wanaeza fika 13 ukifanya cros matiplication unapata milion 130 hivi...
Mimi nafikiri siku zote katika maisha yetu tuwe watu ambao tutaboresha Mambo yaliyopo au kugundua Mambo mapya ambayo dunia yote itayakubali
Watu wakubwa waliofanikiwa Kama wa kina Stephen jobs CEO...
Hapa nilipo naona bei ni ile ile japo njemba zinapombeka tuu!
Weita niongezee African fruit nishangilie zaidi maana bia mmegomea agizo!!
Ila kwa ahadi hizi na hamasa hizi soon tutachukua kombe...
Kati ya watu kumi ni mmoja anayefikiri
Watano wanadhani wanafikiri ila hawafikirii
Wengine wanadhani wanatazama,lakini hawatazami,wanasubiri mambo yatokee tu lakini hayatokei!
Sent using Jamii...
Wakati vijana milioni mbili wanahitimu masomo ya uhandisi kwa mwaka nchini China, Afrika vijana milioni 10 wanakuwa wachungaji kila mwaka- Julius Malema
Kuna maswali mengine nikijiuliza sipatagi jibu sijui kwamba ni kiswahili kigumu sana
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.