Wakuu unaweza ukafikiri Kama masaa hayaendi kiukawaida wake kwa sababu naona Leo siku imekuwa ndefu sana.toka asubuhi niliikatia tamaa ndo maana natamani ifike TU usiku nilale
Nakazia:hela...
1. Serengeti lite 750
2.kilimanjaro 1000
3.tusker 1000
4.safari 1000
5.balim 1000
6.savanna1750
7.jibapa 5000
6.kasichana 2000
7.Valuu kubwa 5000
8.Plisner ice 1750
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanao nikumbusha matukio hangu ya zamani kwenye hadhara siwapendi.
Watu wanaotaka sifa waonapo mgeni machoni mwao na kuanza kujikombakomba kudhalilisha wenzake ili mradi aonekane na yeye...
Katika wimbo wa Lucky Dube "God Bless The Women" yaani "Mungu awabariki Wanawake"
anasema:
Katikati ya usiku wa manane, nilisikia sauti nyororo ya mama ikiomba. Ikiomba kwa uchungu. Akiomba kwa...
Njia nyepesi ya kuiondoa CCM madarakani ni kuwashawishi watanzania kuanza kuvuta bangi kwa wingi😀😀😀wavuta bangi wakifikia robo ya wanywa pombe hakika CCM kwaheri😀😀😀Chadema wekezeni kwenye bangi...
Wana mwenye group kali la vichekesho naomba aniadd au anitumie link nijiunge au kama hatojali anitumie no za maadmin niwacheki waniunge 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Cheka uongeze siku zakuishi
Habar zenu wanajamii leo nimeona nilete hili jambo kwenu nyinyi kwasababu limekua likijitokeza sana kwenye utaftaji wa rizki katika shughli zetu,Kwanin sisi kama watanzania hatuwi pamoja katika...
Nimekuwa nikiwaona vijana waliohitimu 2010's wakisumbuka na changamoto mbalimbali za ajira but ambao wako very frustrated kuliko kipindi chochote toka nchi hii ipate uhuru ni hawa waliohitimu...
Jana bwana wadau wa JF Dar Wing tulipata ugeni kutoka Arusha wing, sasa ikabidi ni coordinate na baadhi ya wadau wenzangu kina Madam B, amu, Kipaji Halisi, Kaizer Paloma, Bujibuji, Asprin, Vin...
Wadau Wasalaam
Nakumbuka kipindi nipo form two,nilikua napiga sana nyeto aka member wa chaputa
Siku moja nimebaki pekee yangu dormitory,nikapiga zangu nyeto huku nikivuta hisia za mapenzi kwa...
Wataalam wa nutrition wameshauri tuwe na mazoea ya kula chakula chenye virutubisho vyote vinavyohitajika ila kwa kiasi kidogo
Spiritual nakazia Huo ushauri,HaKuna sababu ya kula chakula kingi...
Mtoto na babake walienda msibani,baada ya msiba kuisha viatu vya mtoto vikawa vimeibiwa.Baada ya kulia sana yule mtoto,baba akamtuliza mwanae kwa kumwambia,usilie we mwachie mungu.Mtoto...
Mungu alimuumbia vitu vizuri mwanamke ila sasa wanachallenge
Kucha bandia
Nywele bandia
Nyusi bandia
Matako bandia
Maziwa bandia
List ni kubwa ....
Je wewe mwanaume ninan hadi huweze...
umewahi kujiuliza kwa nini ATM hutoa kwanza kadi kabla ya hela??
waliodesign ATM wanajua hulka ya binadamu kwamba akishapata anachotaka anasepaaa...
yan ATM zingekua zinatoa kwanza mshiko kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.