JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari zenu wanajamii forum.. Nilikuwa nimekaa sehemu kwenye pub fulan jijin dar, nikaona kasi kubwa ya vijana wanaokuja kununua condoms japo wao wanaziita majina tofauti tofauti nikajisemea...
0 Reactions
0 Replies
412 Views
*103 passengers and only 40 meals was loaded on a Bombay to Canada flight*. The airline had bungled, and the crew was in a fix. However, one smart flight attendant had an idea. About 30 minutes...
0 Reactions
0 Replies
560 Views
ni ile hali ya kufua nguo halafu kila baada ya dakika tano unaigeuza geuza utafikiri unabanika samaki jikoni, na pia unahamisha nguo kila wakati kwa kufuata mwanga wa jua.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
*103 passengers and only 40 meals was loaded on a Bombay to Canada flight*. The airline had bungled, and the crew was in a fix. However, one smart flight attendant had an idea. About 30 minutes...
1 Reactions
0 Replies
537 Views
*103 passengers and only 40 meals was loaded on a Bombay to Canada flight*. The airline had bungled, and the crew was in a fix. However, one smart flight attendant had an idea. About 30 minutes...
0 Reactions
0 Replies
477 Views
*103 passengers and only 40 meals was loaded on a Bombay to Canada flight*. The airline had bungled, and the crew was in a fix. However, one smart flight attendant had an idea. About 30 minutes...
0 Reactions
0 Replies
494 Views
Waafrika tuna uchawi wetu wa asili wa kuzuia mtu asifanikiwe au kumuondoa kabisa duniani au kumfanya msukule wa kukuzalishia hela. Tatizo letu tunautumia vibaya pale unamfanyia ndg jamaa na...
0 Reactions
9 Replies
946 Views
Nakumbuka nlikuwa nmemaliza kidato cha nne.baada ya ku browse sana kitaa nikaona bora niwe hata njagu. Basi nikaenda mafunzoni kilimanjaro. Siku hiyo walikuwa wamepika maharagwe na ugali watu...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Arsenal mnatia huruma sana Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
2 Replies
779 Views
Vichwa vya habari 1. Wanafunzi wengi wamefeli mtihani wa kidato cha nne 2. Wanafunzi wengi wanao hitimu vyuo vikuu wanafeli kupata ajira Walio feli wanalia nitakuja kufanya nini mim bila elimu...
0 Reactions
4 Replies
883 Views
HII NDIO LUGHA YA MZAZI KWA MWANAE ALIEFAULU KIDATO CHA NNE.. SAA 12 asubuhi. BABA;- baba, unaamka sasa hivi au unalala lala kidogo.. MTOTO;- Hapana baba nimechoka ntaamka saa 5 jana...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Toka zamani nimejikuta nikiwa more interested kuishi pembezoni mwa ziwa au bahari. Muonekano wa maeneo hayo yanapendeza machoni na hunifanya nijihisi kuwa comfortable zaidi. Kiukweli nawaonea wivu...
0 Reactions
5 Replies
880 Views
Baada ya kuona udj unalipa. ila kwa kiasi chake.. sasa nimeamua kuresit mtihani..kuanzia sasa. na mwezi wa kumi na moja ntafanya "pepa " lengo langu ili niwe sound engineering asiye midosho bali...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Huwa unafanyaje ukiwa unakula na mgeni ila anapenda kula kwa kukomba mboga?
0 Reactions
12 Replies
957 Views
Katika kile kinachoelezewa kama kuichafua serikali, mpaka Lissu kuitwa kichaa anaetakiwa kuwa Mirembe, kichaa ambacho Wabelgiji wanaomtibu na kumuona kila siku wameshindwa kukigundua lakini...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Siku nzuri wakuu! Watasha wanasema "learning is the continuous process from cradle to grave" kujifunza ni kitendo cha kuanzia unazaliwa hadi unakufa..hakikomi..Leo tujifunze hiki kinachowasibu...
12 Reactions
762 Replies
60K Views
Wema na Amber Rutty wametuburudisha lakini wametuomba *msamaha* Naona Taifa stars wapo kimya mpaka leo, dharau hizi[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
8 Reactions
13 Replies
2K Views
Unahaha kuoga,kutupia pamba,manukato na vidani lakini wewe ni mchafu wa mawazo na tabia. Hata kama utaita malaika bado hawatakusaidia. Mjini huendi. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
8 Replies
912 Views
Habarini za saiz naomba msaada anayeweza kucupture au kusreenshot vitu kwenye thl Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
307 Views
Back
Top Bottom