JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Baada ya Kujifunza lugha ya malkia nimefanikiwa kuiva kabisa,Angalieni navyoongea"You know sometimes circumstance issues,Specimen and Couldn't I speak it?Wouldn't she?Pharmacy me!Wife...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Katika hali ya kustaajabisha, nimepata habari kuwa kuna mtu anatembea na jina la BAK mfukoni na huenda BAK ndiye Sea-AG ajaye. Stay tuned!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
KAMA KUNA MTU ANAUZA BANGI ANICHEK INBOX CHAP KUNA DILI
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hapa tutakuwa tunamkaanga member mmoja kila siku maswali ya kistaarabu na majibu ya kiprofessional Zaidi. Kwa leo tutakuwa na Ndugu yetu Mshana Jr kama guest,uliza swali lolote unalotaka kujua...
11 Reactions
184 Replies
17K Views
Leo natimiza miaka 32 tangu niletwe Duniani.Nimemshukuru mama Sana Kwa kila kitu.Lakini pia namshukuru Mungu Kwa kunipa uhai na pumzi bure.Changamoto za maisha napambana nazo pia kutafuta mkate na...
9 Reactions
44 Replies
3K Views
Nani alikuwepo pale TAM ZEE enzi ya huyo mzee kipindi ndio head master..!!?? kuna mikasa tulikutana nayo ikiwemo mimi mwenyewe kukimbizwa toka ofisini kwake mpaka navuka barabara ya umoja wa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kikao chenyewe hiki hapa
4 Reactions
50 Replies
5K Views
  • Closed
Wakuu habari zenu kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kumfahamu huyu huyu SAMEER RAO wa ukurasa wa jamiiforums Facebook ni Nani?... Msingi wa kutaka kumfahamu ni kwasababu hakuna...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nipo kwenye mkakati wa kuyafungulia mashtaka haya makampuni mawili ya Fedha kwa kuniibia MB bila ridhaa yangu maana kila nikiwasha data, wananijazia matangazo yao tena yana-play automatic hivyo...
6 Reactions
68 Replies
9K Views
Sijui ni kwanini nimekuwa ni ' Mtu ' mwenye Huruma sana na ' Mtu ' mwenye Kusahau yale ' mabaya ' yote niliyotendewa na Watu mbalimbali. Na kuna ' Mtu ' mmoja pia aliwahi kuniambia ya kwamba Wema...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Aman iwe juu yenu wapendwa katika bwana Nimesikitika sana Leo baada ya kuona maandiko yanatimia Shetan hupenda sana anasa walevi, wazinsi, wauaji wote wake Shetan ameamua kupak bus kwenye Uzi...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Jaribu kufikiria mala mbili mbili tena kwa umakini... Kwa nini kitu fulan unacho jarbu kufanya hakifanikiwi..? Kwann uliutumia usichana wako vibaya? Kwann huna mume hadi sasa na ni rika la...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Nilikuwa single, kuna kaka mmoja alinifuata inbox, tulianza kuchat. Kaka yuko romantic kama vyote. Moyo ukayeyuka. Nikamtumia picha yangu kwa mahaba yote. Nilikuja kuona amecomment kwa...
34 Reactions
304 Replies
15K Views
Mwana jf Mimi unanitambuaje humu jf tiririka kuwa huru Jf members
1 Reactions
58 Replies
3K Views
Daktari amshauri mgonjwa kula chapati tu Baada ya vipimo & majibu, daktari akamshauri mgonjwa kuanzial siku hiyo chakula chake kitakuwa ni chapati tu....... Baada ya ngonjwa kusikia hivyo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Aisee kutokana na ile hard talk kwa ndugu yetu TL, inaonyesha wazi kuna asilimia fulani ya watu kupungua kwa wanamuunga mkono. Kwani kunavitu alivijibu kishabiki badala ya kusema kweli, moja ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
1• AZ Alkmaar win/draw 2• Maccabi Haifa win/draw 3• PAOK win 4• Lille. Win 5• Guingamp win/ draw #97blessed
2 Reactions
0 Replies
926 Views
Yaani Sasa hivi maada imenitoka kuna kitu nilikuwa nakiwaza nikasema nikawashirikishe Wana jf wana chitchat,Cha ajabu kimenitoka kichwani yaani hata sio muda mrefu Ni Sasa hivi sasa hivi...
0 Reactions
7 Replies
799 Views
Mademu mnazingua Sana mtu unatumiwa pesa badala ya kusema Asante we unaniandikia meseji eti tantee.ujinga mtupu,wizi mtupu.kwanini usiseme asante.unapewa pole unaumwa badala ya kusema Asante...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Back
Top Bottom