Heshimazenu wanajamii nilikuwa napendekeza kama kila moja akatupa twasira ya jinsi alivyo kwa picha inayofanana na alivyo sio real picture but similarity things.
Na wasilisha wakuu.
Sent using...
Aman iwe nanyi wakuu
Hii nimejionea mwenyewe siku nyingi sana kote nilikopita utakuna na sehemu za starehe nzur kuliko za iremela ila ziko sehem tofaut tofaut
Lakin kwa ilemela yote iko poa na...
I have been wondering about the way NECTA gives schools their number
Do the P or S before a school means something? If so what do these two letters mean?
Is there other letters used in front...
Umeingia chooni na kukuta kinyesi cha maana kimeshushwa pembeni ya choo Muda mfupi uliopita..! Mara ukaamua kuahirisha zoezi la kunya na kuamua kutoka chooni.., Wakati unatoka chooni Mlangoni...
nimezipata wakati nipo nachunga ng'ombe kwenye pori fulani(sitalitaja kwa sasa)
zilikuwa kwenye korongo moja ambalo nimeliona baada ya mbuzi msumbufu kutumbukia huko.....
naambatanisha picha hapa
Poleni na majukum ya siku nzima.
nenda katika mada.
Jamani Wafanya biashara ni wachawi sana hii nasema kwa kua imenikuta, tena mara mbili sehemu tofauti.
kunda siku nilinda kununua simu kikawaida...
Wadada wenye makalio madogo msiogee sabuni za Rungu maaana inaweza kuyatoa ikijua ni chunusi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu naombeni kutagiwa.maana nasikia sikia tu "akikujib nitag" huko kutag ndo huwa mnamaanisha nini?embu nitagini na mimi nione.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuta madogo watatu wanagawana maandazi. Wamenunua maandazi mawili sasa kila mmoja anataka achukue moja halafu atakayekosa wamgawie, kilichonichekesha ni dogo mmoja kajiongeza fasta kawabia...
Kwa kwl leo kuna wale majamaa wanao uza Maharage au mahindi mabichi wanaopita mjumban hadi huruma wanaongea kwanzia ananza kubebea mzigo hadi anapoenda kutua yan hadi huruma!!
Kama kuna lingne...
Wale wa kushangilia Demiss kupewa talaka semaa oyooooooooo!
Kuanzia leo mm siyo mke wa mtu nipo single kuendesha gurudumu la maishaa.
Sijaachana kwa ubaya na kalumanzila ila alichokihitaji mm...
- Baba V asugua benchi baada ya kupigwa chini hii imetokea huko Chit Chat
-Mwigulu Nchemba hajulikani alipo potelea source: siasani
-Dr. Slaa akataa mjadala na Nape source: siasani
- Bi mona...
Habarini wana cit chat
Zamani bana ilikuwa raha sana, unakuta mwanume unasoma Ndanda (Lindi) halafu demu wako anasoma Msalato (Dodoma), mwezi wa tatu unaandika barua unaomba kipindi cha rikizo...
Wakuu,
Huenda labda mimi sijui
Lakin kusema kweli, sijawahi kuona mke wa Rais yeyote duniani mjamzito tangu nipate akili..
Nimejaribu kufanya research sijapata..
Labda ninyi wanajamvi...
Wana j.f Tushare pamoja kuwajua hawa watu japo hata kwa kuangalia Tabia zao....Mi Najua mwanaume akiwa anapigwa na mkewe Usiombe awe bosi wako Utakoma!!
Bila kuchelewa naomba kuingia kwenye mada husika bila kupoteza muda
Hawa mapolisi wa dar baadhi yao wanaroho mbaya na kichwani hamna kitu
Kunandugu yangu mmoja anafanya kazi ya kuendesha bodaboda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.