JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Sikujui dada huwa nakusoma tu humu...lakini nikiri wazi kuwa uzi wako wa stori yako ya kupanda mlima kilimanjaro umenibadili sana mtazamo kuhusu maisha dada,ubarikiwe sana. Nimeweka dhamiri ya...
3 Reactions
42 Replies
4K Views
Wajapan wana majina amaizing sana ukiyaleta kwa kiswahili.. Tupia yenu mnayoyajua.. Kuna huyu babu yenu anaitwa Holly Shit Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Aman iwe nanyi wapendwa Hakuna kitu nakipenda kama uzima Wa afya na akili timamu. Nina muomba sana aliye juu asaidie mwaka kesho nifikishe miaka yangu 22 nikiwa mzima Wa afya njema Toka nikiwa...
1 Reactions
62 Replies
3K Views
Umewahi kuonja raha ya kusafiri na Ndege Kwa masaa mangapi hewani.toa ushuhuda Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
134 Replies
16K Views
Katika kizazi chetu hichi wanaume tunapitia changamoto ya kupambana na yafuatayo. 1. Filters 2. Make up excessive use of makeup. 3. Beautyplus and 360 cameras 4. Artificial hair Kupata mke...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Hii hapa ni takwimu ilyofanywa na wadau mara baada ya msimu wa siku kuu za krismasi na mwaka mpya kumalizika. Pale ambapo wadau hawakufika kufanya utafiti ni kutokana ufinyu wa bajeti. IRINGA...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
poleni na majukumu wakuu saizi nimekaa natafakari juu ya watu wanapost pumba jf akina ndege John, zero iq na kisandu junior nimegundua kua mimi nafaa kua Mwenyekiti wao kwa sababu zifuatazo...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Mimi binafsi nina miaka 30 lakini dah nachomiliki ni hii smartphone nikiwaona vijana wenzangu wengi wapo chini ya umri wangu na wengine wameshatoboa sina assets yoyote kama kiwanja n.k kibarua...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Kiufupi Wengi Humu Hatujuani. Najaribu Kuvuta Picha Tu Baadhi Ya Member Humu WaTafananaje Siku Nikikutana Nao. 1. The Bold Huyu Jamaa Kwa Story Zake Humu Jf Nahisi Ni Mshikaji Tu wala Siyo Mtu...
4 Reactions
186 Replies
10K Views
Anamwagia mti maji wakati mvua kubwa inanyesha kweli kupatwa kwa kiki. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwaka 1971, Mfungwa Gerald mayo alifungua kesi dhidi ya shetani na watumishi wake. Kesi yenye jina Gerald mayo v satani and his staff, na namba 54 F.R.D 282 (w.d.p.a1971). Mlalamikaji alikuwa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Whats up fam ? Asee nimeshindwa wakuu niliweza kipindi kile when i was so broke ndo nlkua sichagui ilimradi nikojoe tu [emoji23][emoji23]. Hawa slay queen wa fb na IG anapiga picha wamebidua...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Sinilipita mitaa ya ungalimited chuga basi bwana mambo yalikuwa kama hivi... Si te pido un beso, ven, dámelo Yo sé que estás pensándolo Llevo tiempo intentándolo Mami, esto es dando y...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani kwani Kuna asiyependa hela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Punjabi: I want to Divorce my Wife. Lawyer On what Grounds.? Punjabi : She's out all Night, every Night, going from Bar to Bar. Lawyer : Are you saying she's an Alcoholic or do you think...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Shule huwa kuna wanafunzi wanapga muscle ama msuli mreeefu hawa jamaa sijui na huku jamii forums wako asee kama mpo naomba mnyooshe mikono juu afu mfanye kama mnajikuna vilee
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama uzi unavyojieleza,utumiaji wa internet umeshamiri sana siku hizi,hivi kwamba hata uwezo wetu tu wa kufikiria na kupambanua mambo umekuwa kiduchu,na kwa sababu ya uwepo wa google watu...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
wakuu Leo nawaletea faida za kuishi dar mtaongezea za kwenu pia [emoji2] [emoji2] [emoji2] Faida ya Kuwa Dar-es-salaam Rais anaapishwa Dar Ikulu ipo Dar Magorofa marefu yapo Dar Magari ya...
24 Reactions
250 Replies
33K Views
Back
Top Bottom