JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Asalam Aleikum warramatullah Taala wabarakatuh. Kwa wale wakristo ni Seme Bwana Yesu asifiwe. Nasikitishwa sana na matukio ya kigaidi ambayo yanakua yanahusishwa na Uislamu moja kwa moja. Growing...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Hii tafiti nimeiona kwa wengi. Wazaliwa wengi hasa wale waliokuta nyumba za familia hawamiliki mijengo. Wengine waliojisogeza wanamiliki kiwanja lakini kujenga anasubiri kikokotoo. Wale wa kuja...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Hapa naamnisha, tukiwa wadogo kuna maisha fulan tulikuwa tunayapitia Na kufanya matukio mbali mbali bila kujitambua vizuri. Sasa inapofikia umri wa ukubwan mnajikuta mmekaa Na watu tajwa kweny...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Ulikuwa na umri gani ulipogundua kuwa neno HOSPITAL ni ufupisho wa House Of Sick People Including Treatment And Labour???
4 Reactions
14 Replies
3K Views
Nahitaji chumba cha kupanga almaarufu kama GETO Kibaha mjini. Kikipatikana maeneo ya Maili moja itapendeza zaidi. Kiwe na huduma muhimu kama umeme, maji(hata yakiwa kwa upatikanaji wa kuchota...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndo maana Kuna msemo unasema hueleweki Kama mvua za dar.hali ya hewa ya Leo huwezi kuamini Kama Jana tu palikuwa na jua sio la ulimwengu huu,ghafla Leo pamepoa Sana utasema tupo kuzimuni.kimya...
0 Reactions
6 Replies
972 Views
Anaejua namna ya kujiunga bundle la airtel university anisaidie.
0 Reactions
74 Replies
55K Views
Wakuu kwema? Wakuu hivi kwanini whatssap yangu hata sms niache ziingie vipi lakini hazizidi 999? Mfano nikiwasha data zikiingia sms itanijuza unread messages ni 999...nkipiga off data nikija...
0 Reactions
5 Replies
677 Views
Andika Vitu Viwili Tu Usivyo Vipenda Humu Ndani. Mimi Binafsi Sipendi Couple Ya Mahondwa Na Smart. Siwaelewi na Sitakuja Kuwaelewa. Simpendi Vladmil Puttin Kwa Kujisifia Anatongozwa Na Wadada Wa...
21 Reactions
1K Replies
44K Views
PROFESA MMOJA ALIWAAMBIA WANAFUNZI WAKE KAZI YA UDAKTARI INAHITAJI kutokuwa na kinyaa na umakini KISHA AKAINGZA KIDOLE MATAKONI MWA MAITI AKALAMBA akawaamuru nao wafanye hivyo WAKAFANYA kisha...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii kauli kila nikiifikiria nacheka sana.inanisaidia pale ninapoamua kushit vitu fulani fulani mfano demu kaniomba hela namchana live kabisa hata simwogopi kwamba pambana na hali yako.sasa swali...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Kupitia uzi huu unakaribishwa kuandika chochote kinachokutia hofu. Na wale ambao wamewahi kukumbana na hiyo hali wakatoka salama wanaweza kukusaidia kuikabili. LET'S TALK PHOBIAS !!! What are...
6 Reactions
126 Replies
6K Views
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Nasikia eti nyumba ni Mali isiyo hamishika, juzi nimepita sehemu kando ya barara nimekuta baadhi ya nyumba wameweka [X] halafu wakaandika ONDOA, sasa sijui jamaa wataipeleka wapi. Sent using...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Mie napendelea kwenda Tripple B Goba... Sababu kuu ni wahudumu wenye makalio makubwa Taja baa zingine zenye sifa kama hizo mjini hapa Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari jf, Hii ni list yenye wanawake wabaya zaidi Tanzania, huwezi tamani hata awe mke wako. Unakaribishwa kukosoa bila povu lolote. 1. Warangi- wanapatikana wilaya ya kondoa, mkoa Dodoma. 2...
1 Reactions
63 Replies
33K Views
Vile vipindi vya Pwagu na Pwaguzi viliishia wapi? Vilikuwa vinaburudisha na kufunza. Wale wazee walikuwa mahiri kweli. Mimi nakumbuka kisa kimoja hiki: "Pwagu alimshitaki Pwaguzi kuwa alimrembea...
0 Reactions
15 Replies
10K Views
Kwanini msababishie adha ya bure kondakta.kila Mara awe anasema tu Rudi nyuma Rudi nyuma.ukiingia kwenye gari rudi nyuma kweli sio unakaa mlangoni. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom