Mambo vip waungwana mko poa!?
Daaah leo nimekutana na changamoto kwangu na naona inazidi kua kubwa na pengine inaweza kuweka dosari katika maisha yangu uko mbeleni.
Kuna mtoto mmoja wa kibantu...
Hellow guys.
Ndugu zangu kutoka bara, [emoji144]
Kwa moyo wa unyenyekevu naombeni mwaliko wa sikukuu ya Christmas. [emoji120][emoji120][emoji120].
Tarehe 20 natoka Zanzibar kuelekea Dar es...
Huwa nina marafiki wengi sana wa kiume ama tuseme najuana na wanaume wengi kama marafiki na huwa siwi na mahusiano nao ya kimapenzi kwa sababu ikitokea nikk na uhusino ni rahisi kuvunja urafiki...
uzi huu nimeuona somewhere nikasema wacha nishee na nyie
Ni sehemu iitwayo Mangala ni kisiwa kinachokaliwa na watu wachache.wakazi wa kisiwa hiki wanapenda sana ngono na kwao ni jambo la...
Nilikuwa kanisani, kuna mvulana na msichana walikaa jirani na mimi.Nikapigwa na butwaa kuona msichana anavuta blauzi yake na baadae sidiria na mvulana kuanza kunyonya chuchu utadhani hakuna watu...
kuna utafiti nimeufanya mtu ukiwa na marafiki wa aina flani wenye tabia ya kupendwa kusindikizwa katika mambo yao japo sio wote ila wengi wao sijui wako hivi
kuna wengine unakuta anakuomba...
Ukipata bahati ya Kukutana na Watoto wadogo wa Kitanzania ( Kiswahili ) maongezi yao mengi watakayokukaribisha nayo hayatokuwa yanacheza mbali na haya:
" Uncle GENTAMYCINE jana Wenzako tumekula...
Nlizoea kuona watoto wakitembea kwa makundi barabarani, wamevaa nguo mpya wamesuka, wananunua vitu kama juice, biskuti, pipi etc
Kuenjoy.. Inaitwa kwenda "kutembea"
Jana wamepita wanahesabika...
Heri ya Christmas na mwaka mpya
🎉🎄🎄🎄🎆🎆🎆
Jamani ndugu zangu Nina shida vibaya mno shida yangu sio kubwa sana
Nitashukuru kwayeyote atakaye nielewa
Nina shida ya vocha ya 2000 tuu!! Hata...
Eti wana CC,hivi mtu aliye zaliwa akiwa na kilema fulani,anaweza kugeuzwa mzima?
Eti,kuna watu MUNGU kawaumba na kipaji cha upumbavu?
Eti,mtu akikutisha kwa utaalamu wake wa giza ni bora ufanye...
Habari wakuu..
Kwa wale watakaoshiriki party ila wakiwa na pesa mkononi tufahamiane hapa ili tujue idadi siku ikifika tutakapoenda eneo la tukio pale pale tukusanye mchango wetu na sisi tule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.