JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Unakuta wanaume wamejazana wanakula vichips na vikuku vya KFC, hivi huwa mnashiba kweli? Au huwa mnaenda kuuza sura kwa ajili ya kupata picha za Instagram?
7 Reactions
80 Replies
8K Views
Leo nimezaliwa tena Mimi Pancho boy.. happy birthday to me!!... MUNGU niongoze mimi Mwana wako..
2 Reactions
2 Replies
435 Views
Ni kupoteza asili yetu au ni kwenda na wakati?
0 Reactions
31 Replies
10K Views
Mojawapo wa zile ngoma za asili maarufu ni hizi: Gobo gobo Tokomile Mganda Bagika ....................
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Mwanaume anaweza kufika sehemu ya ugenini na asipate tabu ya kuishi kwani akishajipatia binti na akatambulishwa kwao basi hao ndo watakua ndugu zake hata iwe wapi. Yaani utawaacha ndgu zako huko...
0 Reactions
2 Replies
673 Views
Ukitendwa na Mpogoro fulani kwenye Mapenzi haimaanishi Wapogoro wote ni vimeo, ni mtu huyohuyo mmoja na matatizo yake.. Ukikutana na Msukuma mwenye Wivu anakufuatilia hadi harufu ya sabuni...
1 Reactions
3 Replies
895 Views
Kwa nini wapogoro wengi wana roho mbaya, yupo tayari kumsaidia hata asiyemjua lakini siyo Wa kwao?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kila kabila lina vyakula vyake vya jadi lakini baadhi ya vyakula huwa haviwezi kuliwa na kabila lingine kwa mfano,Wapogoro huwa wanatumia kitu cha Mbewa(panya)kama mboga...je makabila mengine...
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Kwa sisi wengine tuliozaliwa mijini tuna mchanganyiko sana wa makabila. Na mara nyingi makabila hayo hayana uhusiano kabisa wala hayatoki kwenye mkoa mmoja. Kuzaliwa mjini kumetusaidia sana kujua...
0 Reactions
27 Replies
26K Views
Yule Max wa max malipo eti ni kichaa? Ameniambia jirani yake? Ni hivyo tu wakuu Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
5 Replies
2K Views
inawezekana kwa namna moja au mbili kuna kitu au jambo ambalo kila ukikaa huwa unajua katika maisha yako mimi upande wangu najutia FANI NILIYOISOMEA KWA MAANA IMESHIDWA KUNIPA AJIRA YA UHAKIKA...
4 Reactions
78 Replies
10K Views
Club ya Arsenal ya England kukesha leo usku, hii ni baada ya kufungwa goli tano kwa moja. Wanakesha kwa sababu ya kusherehekea kufungwa goli moja tu na Liverpool kipindi cha pili . Kwani kipindi...
0 Reactions
0 Replies
684 Views
kwa wale wanaofahamu wadada wa kirangi hebu tuambieni ni kwanini hawa wadada wamekuwa gumzo hapo mjini je ni kwa sababu ya ule uzulii wao hapa mjini au urembo waoo hebu tupeni siri jamani why...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wanadar es salaam wenzangu hili joto mnalionaje.jua Ni Kali hakuna mfano.jua Ni Kali laana.jua Kali mpaka ukitembea nje dakika tano tu unaanza kunukia harufu ya mishikaki kwenye ngozi.sasa Mimi...
1 Reactions
6 Replies
985 Views
Kwako rafiki yangu, mdogo wangu chaliifrancisco, ni siku nyingine tena Mwenye enzi Mungu amekujaalia kuongeza mwaka mwingine... Naomba nitumie nafasi hii kukutakia heri ya mfanano wa siku ya...
12 Reactions
132 Replies
6K Views
Uwezo wake wa kufikiri umenifanya nifikirie mara mbilimbilia, anajitahidi sana na ana kipaji kikubwa. Hasa hapo alipozungumzia kuhusu NYUMBU dakika ya 1 hadi 4 nimecheka siku nzima leo.
5 Reactions
12 Replies
2K Views
wakuu mara ya kwanza nasikia dar es salaam. nilijua ni marufuku kula wali bila nazi. nilijua kila hatua tano, unabishana na minazi ya kutosha. Nilijua Minazi ndio ilipelekea nembo ya jiji kuwa...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Huyu ndie anajua siri kubwa ya jamii forum, Huyu Chuma cha mjerumani, very funny ananishangaza.. Natafakali sipati majibu, sijui kwa nn? Nataman Numbisa awe rafik yangu. Sent using Jamii Forums...
3 Reactions
48 Replies
3K Views
Huu uzi upo chit chat lakini ni uzi serious naomba ieleweke hivyo. Kuna watu JF wanatumia kama eneo la kubarizi taarifa za hapa na pale. Good. Lakini, unaweza kutumia kama eneo la kutengeneza...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Nililala Usiku nilipoamka Asubuhi nimekuta Nywele zangu za kichwani zimepungua Eneo la Utosini mpaka leo nyele azioti vizuri zinaacha nafa wazi je? Nini tatizo wadau ???? Sent using Jamii Forums...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom