JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jf bhana kutokana na aina yangu ya huduma nakutana na member kibao. Kifupi huwez jua hata jina na avatar yake ila tunaelewana vizur kimbenbe kujuana Nick name tuu.... Ila thanks brothers and...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Yaani ikitokea kuna benzi limepaki halafu mbuzi ndio dereva... Utawasikia jamani baby i like your pembe!! [emoji23][emoji23]
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Ukijaaliwa uzima na afya,Karibu uje ule sikukuu ya X-mas nyumbani kwangu. Ila Jitahidi uje na Sukari kilo 1, Mchele kilo 2, Mafuta ya kupikia lta 2, Ndiz mbivu za kutosha, Nyama (steki) kg 6...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mtu hata akifanikiwa akapata hela akikaa peke yake anawaza kifo.sasa Kama mbinguni Ni pazuri na umepanga uende usigeuke nyuma ki face kifo
0 Reactions
2 Replies
625 Views
Niwatakie sikukuu njema mabibi na mabwana. Tupo wengi tusiokuwa na tabia ya kutoa zawadi,na hata tukitoa hatutoi zawadi bora. Zawadi ya thamani kabisa,iletayo baraka maishani mwako ni ile to...
1 Reactions
13 Replies
914 Views
Wadau, ulishawahi kuangalia movie kuna vitu ukawa unaviona kuwa ni uongo kabisa ila unasema tu "Duuh huu uongo mwingine bhana" lakini unaendelea kuangalia alafu ile umemaliza tu kuangalia unasema...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Nilikuwa katika pita pita zangu huko Twitter,cha ajabu nilikutana na UTANI ambao mwenyewe nilishindwa nisome nini, 👆👆
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Bongo banah, tunakatana mud ivi ivi maksudi, Izo nguo zina wenyewe, cc tuvae za kijan na njano
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau Hapa tunasalimiana kwa kilugha na atakeyejibu salamu yako anakuwa rafiki yako. Kama hujui kilugha chenu wewe sio mzalendo. Naanza kwa salamu hii ya kwetu. "Shimboni...
8 Reactions
368 Replies
20K Views
Kama kichwa cha barua kinavyojieleza, mimi Papushikashi kuanzia leo tarehe 23/12/2018 nimeamua kujitoa rasmi kwenye chama tajwa hapo juu. Hii ni kutokana na aibu niliyoipata baada ya demu wangu...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Life ipo soo simple Na inajoke sometimes Ila ipo soo strong Don't be too serious We can't fight and win but we can only buy a time
0 Reactions
1 Replies
709 Views
Kama heading inavyojieleza wakuu tangu leo nimeamua kumuacha yna2 niko na new baby in town Khantwe , Yna2 alinipa pressure isiyomisilika kila siku nakutana na sms mpya za maboy wengine kwa phone...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Ninajivunia kukomboa kundi kubwa la watu ambao kimsingi walikuwa wanaenda kutapeliwa na wanawake X na Y ambao walitaka kutumia mgongo wa JF kujipatia pesa kwa kigezo cha kuandaa party. Kiukweli...
11 Reactions
110 Replies
8K Views
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
0 Reactions
64 Replies
5K Views
Kiukweli kabisa inauma kukosa fursa kama hii ya kujumuika na familia. Ni wakati wa kujumuika na kujichunguza umepiga hatua gani katika maisha na kusahihisha pale ulipokosea. Akili inakua imetulia...
3 Reactions
58 Replies
3K Views
Kwa ufupi kuna baadhi ya majina nikisoma huwa nacheka sana nikiwa natafakari huyo mtu mwenye hilo jina alikua anawaza nini wakati wa kujisajili humu JF. Majina ya kufurahisha ni kama yafuatayo...
3 Reactions
142 Replies
13K Views
Raisi maguli pembeni akiwa na waziri mkuu wakionesha bashasha na furaha kubwa https:/tzcommunity.com
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Wadau,leo nimeona nielezee kisa hiki kilichonikuta kwenye basi nikitoka mbeya/tukutu kwenda dsm. picha linaanzia hapo natoka zangu nyumbani,ilikuwa safari yangu ya kwanza kuja dam kujiunga na...
27 Reactions
206 Replies
31K Views
Uzi huu unaweza kuleta mada yoyote ili tunaopenda ubishi tubishane. Wale wasiopenda ubishi pia mnakaribishwa kubishana mnapoona panahitaji kuwekwa sawa. Ubishi uwe wa staha na stara si wa matusi...
18 Reactions
623 Replies
25K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…