Huwa navumilia sana lakini kuna muda hata mm nakereka jamani.
Naombeni niongee na hater wangu wa JF;
1.Kama hunipendi naomba uniblock
2.Hunipendi na unafungua nyuzi zangu huoni kama unazidi...
Dada zangu, chukua simu yako mpigie mchumbaako wako mwambie "ulidhani sitagundua"?? hafu kata simu na uzime siku nzima uone kama kesho hajakuletea zawadi za xmass na alikua hana...
Ila jamani wanajf kwa nini mnaninyanyasa mtoto wa mwenzenu.
Eeeh mtoto mbichi miyee hata miaka 25 sijafikisha chuchu konzi mnaniambia mm mzeee looh hebu mniachee.
Kuanzia leo sitaki kuzeeshwa...
Hayo ni maneno ya msaidizi wangu wa nyumbani aka hg.
Nikamuuliza kwanini?
"Aaah bibi si nilimchagua Lowassa".
Kwanini?
"Niliona kama kaonewa na CCM".
Sasa nikusameh kwanini na hiyo ni haki...
Tujuane tunao anza mwaka 2019 tulio single boys na wale single girls na kwanini mpaka leo upo single.
Mie niko single coz my future wife kaenda kwa future husband wake na mie kaniacha solemba...
Mwaka ndo huo unakwenda kutuaga kabla ya kwenda mwaka mpya ni emojiz zipi umetumia kwa mara nyingi zaidi ktk kipindi cha miezi kumi na mbili inayoishia?
Habari wanajukwaa
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 19 nilibahatika kumaliza kidato cha 4 mwaka jana lkni bahati mbaya sikufanikiw kufanya vizur kutokan na sababu Mbalimbali(hatanikiwaelezea...
Jump- Kriss Cross
Another night -The real Mccoy
Better off alone - DJ Alice
U cant touch this- MC Hammer..
I like big butts- Sir Mix a lot
Don't worry Be happy - Bobby McFerrin
Kichwa cha habari chahusika,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+ yani nakimbiza 40 Inshaalah.
Nilikuwa na rafiki yangu wa kike tulikuwa kama dada na kaka tuliwahi kufanya kazi office moja by...
NIMESHINDWA KUPATA NAFASI YA KUSAFIRI KESHO KWENDA DAR KUTOKANA NA MSONGAMANO WA ABIRIA WANAOSAFIRI KUWAHI SIKUKUU. JE KUNA MWANAJF MWENYE USAFIRI BINAFSI KWENDA DAR KESHO? NIWEZE KUPATA NAFASI 2...
Nawatakia Christmass Njema wote.
Tunapojiandaa kusherehekea, tuwakumbuke na wale walio wagonjwa na wale watakaoshindwa kusherehekea pamoja nasi, kwa kukosa au kushindwa kwa sababu zao au...
Humu ndani nimesikia kuna watumiaji wa jf wa aina tatu ivyo basi nataka kuwajua kama wewe ni;
1) Mtu andika herufi M
2)Jini andika herufi J
3)Robot andika R