Ishakuwa kero sasa, kila siku wanaume tunasimangwa.
Sasa ili kuweka rekodi sawa, hapa ni wale tusiokuwa na gari wala nyumba.
Wadada mtuvumilie jamani, hatuna ila tunakomaa kuzitafuta.
Khaaaa!!
Narudia tena airtel TANZANIA nyie ni wapuuzi na mnafaa kupigwa vita kwa ujinga mnaotufanyia wateja wenu!!..
Haiwezekani hela yangu mateso mnipe nyie mafala, na mnanitumia sms nipige huduma kwa...
MAMA NA BABA
MAMA: anakupenda mpaka ukimtazama machoni unauona upendo wake.
BABA: anakupenda bila kuonesha dalili yoyote machoni.
MAMA: amekutambulisha duniani.
BABA: ameitambulisha dunia kwako...
Hivi mtu unaweza kunywa pombe, na kusahau njia ya ya kurudi kwenu. Au uanguke njiani na kupoteza mwelekeo. Unafikia mpaka kulala fofofoo njiani, hii inawezekana kweli au makusudi. Wana lao jambo...
Aisee kila demu ambae ninamuona ni mkali haijui JF kabisa. Yani ukimwuliza unaijua hii anasema ndio nini?
Wengi unawakuta Instagram na FB.
Nimejaribu kucheki mpaka celebrities wa kibongo wote...
Kwanini Mzungu akinywa Soda au Juice na hata Chakula chochote utaona Kile Kinywaji hakimalizii chote atakibakisha kidogo na hata Chakula pia kuna ' mabaki mabaki ' yatabaki katika Sahani ila kwa...
Kila siku huwa nawaambieni kuwa kwa Mwanaume na Mwanamke makini nchini Tanzania na mwenye ' akili ' sawasawa ambazo zinamtosha kamwe hawezi Kukubali Kuoa / Kuolewa na Wanaume / Wanawake kutoka...
Wakuu nauliza hivo ili nijue tu kwa nia njema. Mwenye ujuzi anifahamishe maana kuna dem nkimpgia anadai mawasiliano yetu anayasikia ex wake[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] !!!!!
Aisee natafuta zile chimbo muhimu kama unavojua sie wanaume ukiw mgeni sehem wanazijua chimbo mnielekeze bas mbali n CDA ama Uhindini pale zngine zko maeneo gan za mchana tu yaan Guest bubu
Dah wakuuu baada ya mda mrefu kunyimwa na shemeji yenu kiponyi manyoya a.k.a kitumbua mpaka kuleta malalamiko Jf leo kanipa nimgegede dah kumbe mwanamke mjamzito mtamu hivi kitu yamoto.
Starehe...
Mchaga Na Mganga
Mchaga; Maganga Nimekuja Kwako Naugonjwa Kutosikia Radha Kitu Chochote Mapema
Mganga; Usijaliumefika Lipia Laki Moja Tu
Mchaga Akatoa Mara
Mganga; Kijakazi Letechupa Namba 23...
Madhara ya kujichubua
Katika baadhi ya sehemu duniani watu wanaamini kuwa ngozi angavu huashiria uzuri, utajiri na uwezo(kifedha) alionao mtu.Katika baadhi ya sehemu watu wenye ngozi nyeusi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.