JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Huyu muheshimiwa amenishinda tabia Siku hizi hata nikimuona nyumbani kwangu simuui tena namchukulia kama mwanafamilia tu
2 Reactions
16 Replies
548 Views
Mkuu wa kitengo ,boss ,msimamizi katika eneo fulani,nk. Anaamua kuleta vyakula vyake na kupikwa na watu wake huko anaowajua ndani ya eneo la kazi na kupakuliwa huko huko. Nakulazimisha watu...
3 Reactions
12 Replies
461 Views
Madame wa biology aliingia class akakuta board ni chafu. Akaniambia kwa kuwa nimeshindwa ku-sort mtu afute, basi nikafute mimi. Nimeenda kufuta ubao, nikatafuta duster cleaner, nikaikosa...
11 Reactions
25 Replies
1K Views
Nina uhakika kabisa tena wa 100% kuwa Message Sent and Delivered accordingly kwa wenye huu UPUUZI TUKUKA JF.
4 Reactions
6 Replies
217 Views
Wakuu, Tupeane maujuzi hapa ya mambo ya kufanya na kutokufanya Ukiahamia chumba kipya au nyumba mpya uzingatie nini? Sasa msije mkasema "Uingie na boksa kinyume nyume"🤣🤣🤣🤣maana nimewahi kusikia...
2 Reactions
3 Replies
948 Views
Ni vigezo vya wastani, sio kwamba mikoa hii haina watu wafupi, on average kwa wanaume kuanzia futi 5.8 (177 cm) na wanawake futi 5.4 (165 cm) Ni takwimu tu, mikoa mingine hawana watu warefu ila...
10 Reactions
55 Replies
1K Views
BLUE BAND - watanzania wengi hawalijui neno la siagi, msamiati wa siagi umekuwa blueband kwasababu ni bidhaa iliyoweza kupata umaarufu kwa muda mrefu sana, hii kitu ikipakwa kweye mkate ushushie...
17 Reactions
97 Replies
3K Views
Tulikuwa kwenye hafla moja ya kikazi hapo dar, maafsa wote tulialikwa kwenda kushiriki na kutoa hoja za kimijadala. Nilikula suti yangu kali na moka za kuchongoka, huku kakitambi nacho...
13 Reactions
38 Replies
1K Views
Ni kweli Watanzania hukasirika wakiambiwa Wakenya wanakijua Kiswahili kizuri kuwazidi?
0 Reactions
5 Replies
315 Views
Katika maisha Yako ukiachana na umauti ambao Kila nafsi itaonja., Ni jambo gani hutamani likutokee Mimi binafsi naogopa Radhi za wazazi na kupata maradhi makubwa kama AIDS na Kansa. Je wewe...
17 Reactions
54 Replies
1K Views
Hello good people,mko poa? Mie niko poa Niko bored hapa,sina usingizi kusema nilale sasa hivi Kazini naingia night shift na babe yuko zake job....let's chat Kwa wale mlio kwenye mahusiano...
20 Reactions
523 Replies
7K Views
Uliwahi kurogwa? Uliwahi kuroga? Una chale mwilini? Ulisimuliwa tuu? Ulishawahi kupewa masharti magumu yasiyotekelezeka? Ulishawahi kudalaliwa? Ulishawahi kutapeliwa? Una hirizi? Ulishawahi...
16 Reactions
148 Replies
16K Views
Nani yupo..nani hayupo..nani kapotea kabisa..nani mwenye udhuru... Mimi list yangu hii hapa ICHANA Asprin NAKWEDE nk Nk Nk Na je kuna ingizo jipya?
11 Reactions
289 Replies
14K Views
Angalia picha hii kwa umakini kisha taja upande gari hili linapoelekea na kwanini?
1 Reactions
13 Replies
866 Views
Wakuu habarini!!! Kuna binti nipo nae ila nafsi inampenda ila akili haitaki cz sio mweupe. Yaan hisia hizi zinanipelekesha sana nashindwa nimuachaje na amenipenda pia ila ndoivo niliapaga ntaoa...
4 Reactions
22 Replies
538 Views
Kipindi tupo maservice enzi izo kambi fulani kulikuwa na op ilio tutangulia sasa kulikuwa na kijana mmoja maarufu sana anaitwa ngosha so sisi op mpya tulivyo fika pale kikosini tukamkuta sisi...
15 Reactions
84 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu zangu wanajukwaa. Nikifahamu kwamba humu ndani ya jukwaa wapo watu wa namna mbalmbalii na experience mbalimbali, leo nawaomba wale waliopitia seminary tukutane hapa...
2 Reactions
115 Replies
13K Views
Mimi nilianza kuitumia mwaka 2008 enzi hizo unasajili bila NIDA na ndiyo laini yangu kuu mpaka leo yaani takribani miaka 16 sasa! Ya kwako umeanza kuitumia mwaka gani?
7 Reactions
103 Replies
2K Views
Ukiachilia mbali yale ya yule bi dada mwenyekiti kule kwenye jumba vikao vya kaya. Wakuu kwa wale mlioutwangwa mtindi weekend hii ukizingatia ilikua ya mwisho wa mwezi tukumbushane tu hata kama...
2 Reactions
8 Replies
291 Views
Waswahili wanasema akiba haiozi basi kupitia kitabu cha Richest Man in Bablion anasema. “Hakikisha una kipato kwaajili ya siku zijazo. Waangalie wazee na kumbuka kuwa siku zijazo nawe utakuwa...
3 Reactions
10 Replies
286 Views
Back
Top Bottom