JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Unajirekodi faragha, unaposti mitandaoni, unaomba radhi
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamen mm nko mombasa,nafanya mziki bt soko la huku liko katika hali mbaya sana.kwa io nimeonelea nifanye mziki njw ya nchi na nimedhamiria nije dar, je kuna yeyote wa kunikaribisha coz cjawahi...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Ukiona hadi leo hii unaishi kwa wazazi au shemeji jua UMEFELI. ukiona kila dem huku mjini unamuita shemeji ju USHAFELI. Kila siku unalewa na uachi hela ya mboga nyumbani jua USHAFELI...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Tekeni wote lakin wahindi cheza nao mbali ,wataondoa uwekezaji wao mara moja hapa na nchi iyumbe
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, kwanza kabisa nitumie fursa hii kumpa pole ndugu yetu na mtanzania mwenzetu bwana Mohamed Dewji kwa mtihani ulompata, na pia naipa pole familia nzima ya wakina Dewji na...
2 Reactions
68 Replies
4K Views
Oy! Oy! Oyiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!! Huu ni uwanja special kwa wana wanaofeel hip-hop, kama we nimkali WA freestyle Kama ni mc Una ngoma zako ziangushe hapa wana wazisikie. Wana wa michano...
3 Reactions
76 Replies
8K Views
Leo ni siku ya pili kuwa jijini Dar na nimekuja kwaajili ya kupata huduma ya matibabu kwenye hospitali ya muhimbili. Tokea nifike huku dar hio jana nimeshangazwa na hii kitu ase nilikuwa kwenye...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Ambaye anataka kuona video zangu nikiwa nakula ugali na dagaa aje PM.
4 Reactions
23 Replies
4K Views
Wakuu huku kwetu kuna upepo mkali kiasi kwamba unaweza ukapeperushwa ukajikuta umeingia kwenye mahusiano ya mtu bila kujua
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Hawa hapa[emoji116]
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Binafsi yangu kati ya Alikiba na Diamond namkubali sana Husein Machozi kwa sababu Lady Jay Dee ana sauti Nzuri sana na ndiomaana hata Kamusoko wakati anafunga lile goli, yule Daktari alisema eti...
5 Reactions
40 Replies
7K Views
Ilikuwa ni jumapili tulivu,isiyo na pilika pilika jijini Da'slam,hakika ilikuwa ni j'pili iliyohitaji sehemu tulivu ili kuondoa msongo wa mawazo na pilika za hapa na pale. Majira ya mchana,natoka...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Download game la Fifa hapa Download game la Fifa19 hapa baada ya hapo fuata maelekezo ya kwenye video Youtube hii Ili ulifanye licheze
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Picha hii itakusaidia uwe motivated kuwa mtu anayefuata sheria popote ulipo. Ni hayo tu. Tafakari
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Kaaazi kweli kwel
0 Reactions
8 Replies
1K Views
'Usukumani' mwanamke ndiye anayeta mali nyumbani (ng'ombe) wakati anachumbiwa na kuolewa, lakini kijana wa kiume hutumia ng'ombe walioletwa na dada yake kwenda kuolea
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwanamitindo Maarufu MANGE KIMAMBI hatimaye amewasili nchini Tanzania usiku wa kuamkia leo 26/10/2018, Taalifa zinasema kuwa Mwanamitindo huyo ameingia nchini usiku wa manane kwa kuhofia asije...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Ukweli leo nimekaa na kufikiria na kujiuliza hivi kwanini wanawake wanavaa chupi na je chupi ina kazi gani kwa mwanamkejibu likanishinda. Pia nikajiuliza kwa upande wa wanaume hivi kwanini wanaume...
0 Reactions
54 Replies
11K Views
Hellow bosess, huwa napenda kusikiliza redio mida ya kuanzia saa 5 asubuh had 12 ivi jion na saa 4 usiku mpaka 5 ivi mda wa kipindi cha redio kizuri nachokijua ni BBC saa 12 radio one mda wingine...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kutokana na uwepo wangu katika hii forum sasa niwakati wangu baada ya kujiridhisha nataka niinunue JamiiForum nakwakuwa naishi nje sitakuwa na banwa na sheria za huko Tanzania hivyo ni mpango...
7 Reactions
42 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…