JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Naomba kuwasilisha Tafadharii...... Maana nadhani hata uwezo wao wa kufikiri na kuchanganua mambo mbalimbali utakuwa upo chini saana..
16 Reactions
120 Replies
7K Views
1. Unajifanya una haraka sana kwanini basi hukulala tu huko huko tokea jana? 2. Kama una haraka sana na unataka Kuwahi Kodisha basi Bombadia au Drimulaina Mpuuzi Wewe! 3. Waliowahi sasa wako...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Wiki iliyopita Nikiwa katika shughuli zangu Jijini Dar es salaam napigiwa simu toka nyumbani, ujumbe ni kwamba Mshikaji wangu S Amefaiki (Mungu Amrehemu) Ni msiba ulionistua sana hasa kwa sababu...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Karibuni wadau katika uzi huu kwa ajili ya kuweka matangazo mbalimbali juu ya huduma, bidhaa au mahitaji yoyote na atakayevutiwa na tangazo lako basi bila shaka mnaweza kumalizana! Naanza na...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
natumaini mu wazima kama heading inavyosema hapo juu wakina Dada wa jf kuweni na huruma hata kidogo basi haiwezekani hata Siku mkaniamulia kuja pm kupiga story na mm ? kwani tuna ugomvi wowote...
8 Reactions
107 Replies
5K Views
A- muhongaji B- tapeli + mshirikina C- mcheshi D- fithadi E- mzushi F- mpenda ngono G- mjinga H- mpendwa na wengi I- mjuzi + mbunifu J- muhuni K- wivu mwingi L- maneno mengi M- mtu ano mahaba N-...
2 Reactions
23 Replies
8K Views
Wale wote mliochukua wafanyakazi wa ndani toka kondoa mnaombwa kuwarudisha wakafanye mtihani wa marudio wa la darasa la saba vinginevyo utakuwa umetorosha mwanafunzi .
2 Reactions
13 Replies
820 Views
Wakuu nawasalimu, Kuna hiki kitu kinaitwa "Vumbi la Kongo" limeshamiri sana mjini daslam na mikoani as well. Sasa kina Jamaa yangu sijui ni kutaka kukomoa katumia hii kitu lakini sasa hivi...
0 Reactions
31 Replies
7K Views
Habari Humu Jf mimi ni mwenyeji Humu.but nimeamua kuja na new ID kwa sababu mbalimbali....but tuachane na hayo ... Inshort Mimi Nina wanawake 7 na wote nimewaahidi nitawaoa...but had I sasa sijui...
1 Reactions
80 Replies
5K Views
Mambooozzz!!unajua katika maisha waweza pitia mambo mengi kutana na vingi...jf imekua sehemu ya maisha yangu mmepata marafiki humu,maadui humu n.k Binadamu lazima awe na mapungufu yake kulingana...
35 Reactions
398 Replies
14K Views
Habari wana MMU. Mada hii ni kwaajili ya viwembe, wapenda nyuchi, ma-playboy, Mafataki, Wakora wa mapenzi na vijana chakaramu. Kupitia uzi huu utaweza kushare uzoefu wa mambo haya ya pinda...
4 Reactions
37 Replies
3K Views
Mambo ya Ajabu Yaliyompata Allan Quatermain na Wenzake. Leo nitadonoa kidogo Hadithi ya Allan Quatermain, Simulizi za Sir H. Rider Haggard kwenye moja ya simulizi zake zinazo elezea visa vya...
10 Reactions
40 Replies
41K Views
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Kuna hili suala la majina yetu. Inafahamika wazi kwamba tunapozaliwa, mara nyingi shughuri ya kwanza kabisa inayofanywa na wazazi au walezi wetu, ni kutupatia majina 'yao' wanaojisikia au/na kuona...
0 Reactions
0 Replies
493 Views
Habari wanajamvi? Katika mitandao mingi ya kijamii kama JF, FB, TWITER, INSTA na mingineyo mara nyingi watu hutumia majina ambayo si halisi. Hata picha pia ambzo huweka katika plofie zao huwa si...
4 Reactions
62 Replies
4K Views
Habari wana jamvi? Mchana huu nilipata kausingizi kadogo. Mara kakanijia kandoto katamu sana, nipo maeneo na dada mmoja ambaye ni jirañi yangu tunakula raha. Mzee bila kuchelewa nikaanza kumpapasa...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Hakuna mtu makini kana sisi walevi wakati wa kuvuka barabara.... kwanza tunaangalia kushoto na kulia kama kuna magari/pikipiki tunaangalia juu kama...
23 Reactions
48 Replies
6K Views
Jei Efu ni raha sana kama intaneti na bundle lenye salio bila ya kuperuzi mtandao kwenye simu aina ya smartphone iliyo na charge kama ya betri isiishe ukaijaza kisha unasuuukuma ndani wote kabisa...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Inshaallah.
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Jino moja, mswaki wa nini?
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…