Achana na kabichi kwanza ukiwa na hela vyakula gani unatakiwa uvipige kwa wingi ili kufidia zile haso na misoto uliyopitia kitambo.
Najua papuchi lazima zimegwe sawa tena ukianza na wale...
Natabiri kwamba huu msemo utakuja kuwa trending sana baada ya msemo wa Muroto kule dodoma wa Mtapata Tabu sana.
Msemo wenyewe ni huu.
Fyekaaaaaa fyekaaaa fyekelea mbaliiiii.
[emoji23] [emoji23]...
Mambo
Jana bwana nipo zangu maghettoni nakula movie mpangaji mwenzangu akawa ameenda kumuogesha mtoto wake sasa dogo alitangulia maliwatoni huku mama akimalizia shughuli zake.. Mara dogo akawa...
Ni kama msimu tu ndani ya JF kuna kipindi ID flani zinakuwa trending mfano Joseverest lakini siku zinavyozidi kwenda zinapotea na kuibuka trending ID nyingine.
Kwa sababu JF hakuna list ya...
warembo wengi hapa jukwaani wengi ni watoto wa jangwani..warembo hao ambao wanaonekana wako vizuri upstairs na ni pini kweli kweli(kwa sauti ya jiwe) huwaambi kitu mbele ya yanga wakiongozwa na...
Karibuni kwenye Jf Voucher Game ili uweze kujishindia Vocha ya shilingi Elfu moja(1000),Vocha ya buku kila Siku .
Game litakuwa linachezwa kwa Kuweka namba zote za Vocha kasoro Namba moja tu ya...
Habari wanajamvi?
Katika ziàra zake akiwa Kanda ya Ziwa Mukulu alitoa agizo kwamba katika kipindi chake tufyatue tuwezavyo. Agizo hilo mimi nililipokea kwa furaha kwa mikono miwili, na nilipanga...
Habari wanajamvi?
Sasa hivi hii tabia ya usomaji wa plate namba imeshamili au tuseme imekuwa kama amri fulani hivi. Mtu akipishana na mdada lazima ageuke asome plate namba, ikitokea umemzuia kwa...
Salamu wakuu,poleni na majukumu ya hapa na pale
Siku chache zilizopita baba mwenye nyumba alikuwa amenibana kweli kuhusu kulipa kodi ya nyumba ,yaani kabla ya tarehe 20 alikuwa kila mara...
Haka ni kamchezo flani hivi Amaizing tuanze kukacheza yaani kwa wanaume unaandika Reply yako huku unaisindikiza na picha ya mtoto mkale,
Na pia kwa kina dada nyie mnasindikiza na picha ya...
Wakuu naombeni ushauri!!! Nina miaka 28 na nilianza kuangalia pornography nikiwa form two japo niliangalia mara moja ...kwenye saloon ya rafiki yangu miaka kama kumi iliyopita. Kufika form...
Jameni wanaume Na wanawake tumeumbiwa kupendana!
Andika sentensi kali ya mtongozo ambayo haijawahi kukuangusha!
Mwanaume ambayo mwanamke ngumu kuchomoa!
Wanawake ni sentensi ipi uliwahi kuambiwa...
Habari wanajamvi?
Katika ziàra zake akiwa Kanda ya Ziwa Mukulu alitoa agizo kwamba katika kipindi chake tufyatue tuwezavyo. Agizo hilo mimi nililipokea kwa furaha kwa mikono miwili, na nilipanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.