JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
2 Reactions
13 Replies
829 Views
Eti ukitaka kumuuliza baba yako ww ni mtt wa ngapi kuzaliwa kwa kingereza, utamuulizaje..,!? atakaepata mh....!!
1 Reactions
68 Replies
14K Views
Tukiondoa dar es salaam..kulikobaki ni mikoani??? Je Dar es salaaam sio mkoa??? Au mkuu wa mkoa wa dar ni mkuu wa nin [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] "wanaume" na "wanawake" "wa mikoani"...
0 Reactions
5 Replies
598 Views
Hapa jijini kuna watu wa makabila mengi ambayo ni wahamiaji ukiachana na wazaramo na wandengereko ambao kazi yao kubwa ni kucheza bao,ngoma,ukuli nk nk. Sasa baada ya watu wa makabila mengine...
4 Reactions
69 Replies
4K Views
Mwanamke yeyote hasa aliye classy huvutiwa na mambo haya kwa mwanaume.. achana na hadithi za baby baby all the time. Kwanza kuwa smart! Nakumbuka first timenilikutana na mrembo machachari afrika...
30 Reactions
387 Replies
30K Views
Kila binadamu anapopata Nafasi ya kutulia hujiwa angalau na fikra na mawazo fulani yenye mantiki, labda ya kuwaza na kuwazua mafanikio aliyoyafikia na changamoto alizokutana nazo! Nakaa...
7 Reactions
84 Replies
5K Views
Nimewaza hapa naona upishi wa ugali huwa unatumia nguvu nyingi sana na kuna kuwa na vurugu sana. Hamna chakula kinapikwa kwa nguvu kama Ugali. Kwanza unakuta sufuria inabanwa kisawasawa na boi...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wasalaam Aleikum Ndugu zangu wapenzi! Kama heading ya Bandiko langu inavyosema, Nahitaji Binti Mchangamfu mwenye stories ambaye naweza kubadilishana nae mawazo na kutoana upweke, asiwe mwenye...
0 Reactions
17 Replies
963 Views
Katika maisha ya ujana hasa mahusiano kuna changamoto nyingi Sana tunakutana nazo.. Ilaa suala la MTU ulienae kwenye mahusiano kubeba Ujauzito na mwanaume hujajipanga Huwa linachanganya Sana akili...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Hii ni mara ya tatu ( 3 ) leo napanda Gari zile ' Eicher ' za Gongo la Mboto kwenda Ubungo SIMU 2000 halafu nakumbana na Abiria anayejamba ' Ushuzi ' mbaya utadhani ' dampo ' lote la Pugu lipo '...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
WANAWAKE MUNGU ANAWAONA CHECK WANAVYOPENDA uongo kuliko ukweli inbox(FB/TSAP MSELA; oi niaje mchuchu? ? Demu; p MSELA; pande zip mrembo Demu; mbagala MSELA; nimekutamani sana mchumba hadi mzuka...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Maisha ya Uswahilini. Unamwazima mtu sabuni ya kuoshea vyombo inarudi ina nywele [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tupia kituko chochote cha uswahilini kwenu
14 Reactions
174 Replies
18K Views
Mazungumzo ya vijana wa kileo kuhusu mahusiano. BAE WAKE: Nakupenda kwa moyo wangu woote mpenzi wangu. YEYE: Nakupenda pia mpenzi wangu. BAE WAKE: Una ahidii kunipenda milele? YEYE: YES...
0 Reactions
5 Replies
967 Views
Umepata chance ya kutengeneza movie inayohusu maisha yako, money isn't an issue, unaambiwa mchague mwigizaji yoyote yule, iwe wa hapa Tz au nje ya nchi atakaeigiza sehemu yako kwenye hiyo movie...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Jumapili usiku wa sa mbili hivi nilikwenda Stand Kuu ya mabasi yaendayo na yatokayo mikoani na nje ya nchi pale Ubungo ili kumpokea mjomba wangu aliyekua anatokea Tabora. Nilipofika pale...
14 Reactions
45 Replies
3K Views
Haaaa.....hv kumbe JF HQ Chugga tuna mvuto.....kuna hatari ya ndoa za watu kuvunjika hapa....hivi Madame B kapatwa na nini...? ni PJ kamzuzua au Arushaone.....? ki ufupi Tanga kunawaka moto wa...
6 Reactions
66 Replies
4K Views
Habari wanajamvi? Tanzania imebahatika kuwa na makabila mengi sana zaidi ya 100. Mababu zetu huko zamani walianzisha utani kati ya kabila moja na lingine ili kudumisha mahusiano mazuri pindi uwapo...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Natumai kuwa sote tumeamka salama salmini! Shukran kwa mwenyezi Mungu Pole kwa walio wagonjwa Na inshallah Mungu atawapa wepesi Leo tupo Na mrembo geniveros Twende sawa DJ sepetu
2 Reactions
633 Replies
29K Views
Lady and Gentleman habali za asubui .Natumain mu buheri wa afya bila kupoteza muda niende straight to the point lakin mtanisamehe Sana sababu ya huu uandishi wangu kwakweli hata mm napata tabu...
8 Reactions
42 Replies
3K Views
Natoa pongezi kwa update zilizofanywa na uongozi wa JF kwenye app yao.kwa kweli imekuwa na mwonekano mzuri. Ni hayo tu
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Back
Top Bottom