Kinahodha: baby Leo nahodha kaniachia
kivuko nadrive mimi saa hii.
Shori: weeee unachatije huku
Unaendesha?
Kinahodha: mi jeeembe nimeanza
kufundishwa juzi tu si
Unanijuaga siku 2 tu nshajua...
Wana jf sisi ni Kama ndugu.niseme tu ukweli Mimi Sina hela Wala Sina ajira lakini natambua siko peke yangu vijana wengi tu humuhumu jf hatuna michongo tunaunga unga tu hivohivo.sasa wakuu wenzetu...
JamiiForum na Punyeto, hizi ni addictions zanazoshika kasi sana ndani ya miaka ya hivi karibuni.Punyeto ilikuwewepo toka enzi lakini hivi sasa hadi wanandoa wanaikung'uta, JF ndo kabisa kuna watu...
Husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu.Kuna watu wengine sielewi kwanin wanakutumia sms ambayo inahitaji upige namba zao kama mtu unakata kufanikiwa!!?,mafanikio ya kweli ni kufanya kazi kwa...
Kila member hapa jf, kuna jukwaa moja analipenda sana yani uki log in tu break ya kwanza ni hilo jukwaa.
Mm jukwaa nalo likubali sana hapa jf ni -Jamii photos- na pia kwenye hili jukwaa Thread...
Mfano binafsi sipendi sanaa mdada anayeniita mimi maneno kama "wangu"
Utaskia ahsante "wangu" au "My" [emoji35]
Tabia nyingine ni ile ya wadada unatongozwa na kijana wa watu unanza ku...
Waswahili wanasema tafuta pesa uzitumie na mimi leo baada ya job la wiki nzima nimeona bora nivute chombo moja matata nijilie vyangu,
Zero IQ mimi siyo mnywaji wa pombe,siyo mlaji wa misosi...
Namshukuru mwenyezi mungu mwingi wa rehema kwa kuniongezea umri mwingine, shukran nyingi zaidi zangu ziende kwake kwa kunipa uhai na afya njema neno langu kuu Alhamdulilahi alhamdulilahi...
Wakubwa habari!
Jana nimeamua rasmi kuchungulia simu ya mchumba wangu. Aisee kuna jamaa kaseviwa Mjomba Dau, meseji zangu zote za mahaba nzuri nzuri nilizokuwa ninamtumia anazifowadi kwa huyo...
Huu uzi maalum kwa watu wote waliozaliwa
Siku hii ya leo tunawaombea kheri na maisha marefu na afya njema, watu wetu wote kwa kuongeza namba ingine
MUNGU AWABARIKI SANA SANA.
Leo ni siku yako mamiiii.
Tunakutakia Heri, Baraka na Amani tele katika siku yako hii.
Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu wenye Baraka na Mafanikio tele ndani yake. In Shaa Allah.
Kwa niaba ya...
Wakuu habari za asubuhi,
Iko hivi,wanawake karibu wote,narudia,karibu wote wamekuwa warahisi mno kutuvulia vyupi (na wengi wao pia huvua wenyewe) yaani kwa mfano umepanda daladala ukamtokea...
Jana jioni tumemzika jamaa mmoja mtu wa makamu kiasi, nadhani umri wake ni kati ya miaka 55 hadi 59 maana nilisikia kwenye salam za rambirambi kua alikua amebakiza miaka kama miwili astaafu...
1.Kabla Ya Kuanza Kufungua, Hakikisha Chupa Yenye Shampeni Imehifadhiwa Kwenye Ubaridi Kwa Muda Fulani Kwani Kinywaji Hiki Ni Bora Zaidi Kikinywewa Kikiwa Baridi. Unaweza Usiweke Kwenye Baridi...