Nikawaida kwenye comments ukiona jina utalisoma na kulitamka kimyakimya(kimoyomoyo).
Usibishe huwa unafanya hivyo. Sasa kwenye utamkaji najua tunatamka tofauti-tofauti.
Taja jina la mwa JF na...
Nimekuwa najiuliza hili swali.maana me naamini sisi sote tunaishi mijini hasa majiji dar na labda katika miji mikuu ya mikoa.kwa kuangalia threads za wengi naona wengi wajanja wote Wana misemo ya...
tujikumbushie enzi zile p/school mwalimu wa darasa alipokuwa akiita majina ya wanafunzi darasani huku wanafunzi tukitakiwa kuitika (jana na leo), kama jana hukuwepo unasema (leo). kama hayupo...
Wakuu Naomba Kuuliza, mimi sina kitambulisho chochote kinachotambulika kitaifa ila sasa nataka ku renew line yangu ya "VODACOM", Nafuata Taratibu Gani Kurenew Line Ambayo sina kitambulisho...
Binti mwenye umri wa miaka 13 alihisi hivyo baada ya kupokea zawadi ya mnyama anayempenda.
Mwanamke fulani ambaye ni mfanyabiashara mwenye mafanikio alisema kwamba zawadi ya kompyuta aliyopewa...
Mtu mwenye akili timamu hufanya mambo kwa nia yaani dhamira na lengo fulani.
Huu ni uzi ambao unaweza kubadilisha dhamira zetu za awali au sababu zilizotufanya tuingie jf. Kila mtu ana sababu...
When you win, be kind.
When you are ignored, be kind.
When you are stuck, be kind.
When you are upset, be kind.
When disappointed, be kind.
When you are in doubt, be kind.
When you are scared, be...
Sio wote baadhi yao haswaa vijana wengi wadangaji hata humu waweza kua wapo..
Hayajanikuta ila yanawakuta watu,vijana wa siku hizo wadananda...chakla wanapenda slopeee...kama zote!!hawataki kubeba...
Mitihani ni part and parcel of the education system, kuanzia ngazi ya kindergarten mpaka chuo. Kiufupi haikwepeki.
So katika maisha yako ni marks gani ya chini kabisa ulishawai pata kwenye...
Tukiacha ushabiki na ukanda usio na kichwa wala miguu kipindi cha ITV saa tatu usiku siku kila Juma tatu ndicho kipindi bora chenye kufundisha, kuelimisha na kutukutanisha na watu wenye weledi...
Wengi wetu tunapitia changa moto nyingi sana katika maisha, mda mwingine tunakosa kabisa watu wa kutuelewa....share stress zako...uwezi jua maoni ya watu wengine yanaweza kukupa majibu...
SAMSUNG
s4 moja
s5 zaidi ya 5
j5 zaidi ya 5
note moja
note 2 tatu
note 3 zaidi ya 5
grand prime plus moja
note 4 moja
note 5 tatu
HUAWEI
p7 mbili
p8 1
p8 lite zaidi ya 5
gr5
gr5 2017
p10...
Somo limeeleweka wanafunzi 30 kati ya 32 wameweza kuelezea maana ya msamiati jiwe.
Wanafunzi wawili ambao hawajaelewa wamepewa muda wa ziada kuangalia hotuba za kinala wa kauli tata
Naomba shemeji yangu kipenzi kama uko hapa JF na ID nyingine tafadhali nisemeshe. Kila nikichungulia ID yako imekuwa BANNED.
Please Raimundo, nina shida na wewe.