Huu ni kwa mujibu wa utafiti nilioufanya naomba uzi huu usiondoleweeee maana watani zangu mpooo haya twende sasa
Tukianzia nambari moja hapa nazungumzia ubahili wa kutoa pesa mfukoni.
1.waha...
Lizzy: For obvious reasons.
Erickb52: Kwa kum cheat Amyner ,
Amyner: Kwa kum cheat Erickb52
The secretary: Kwa kumkataa bishanga,unamkataa bishanga we nani? Asprini: Warembo wote jf wa...
Ndugu Zangu Katika Kristu “Tumsifu Yesu Kristu”
Kama Mafundisho ya Kanisa Yasemavyo Kuna aina Tatu za Kanisa
1.Kanisa la Mbinguni
2.Kanisa la Duniani
3.Kanisa la Toharani
Pia kwa Imani yetu...
Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.
Daktari: hilo tatizo lilianza lini?
Mngojwa:tatizo lipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using...
Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe, "hivyo utajifanya Sokwe na tutakupa ngozi utavaa"
Jamaa siku ya kwanza akavaa, walipokuja watalii...
*Bado nalia na hizi smartphone, mwenzenu leo nilikuwa mbali kidogo na nyumbani mara nikapokea sms kutoka kwa mshua ikisema "Njoo nyumbani mara moja". Sasa badala ya mimi kujibu "kuna nini?" mimi...
Ili ujue kwasasa upo JF basi lazima ukutane na mambo haya;
° Kila member ana maisha mazuri
° Members wote wana degree na kuendelea
° Wengi wetu tunafanya kazi ofisi nyeti serikalini
° Hakuna...
Kanisa Katoliki kama Taasisi ya Dini ina Amri zake, Amri ambazo Kila Muumini lazima azifuate!
Ziko Hivi!
1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILIZOAMRIWA
2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA...
Mnajifahamu,wote ambao nimewasarandia,wote ambao nimewagonga,kuanzia leo siwajui msinijue.Tatizo lenu mkiniomba hela ya saluni nisiwape mnakimbilia kunisasambua jamvini,mnanchekesha.Narudia kusema...
Ndo natoka kuchungulia jukwaa la siasa,du maskini rejao,nimekuta anapewa za uso.........poor guy.....namsifu ana moyo lakini maana katika hali ya kawaida ukidundwa ile mingumi utaishia mwaisela.
[emoji134]♂[emoji134]♂[emoji134]♂[emoji134]♂[emoji134]♂[emoji134]♂
Ulihukumiwa jela miaka 30 kwa kosa
la kumpa mwanafunzi mimba alafu
siku umeachiwa huru unakutana na
yule mwanafunzi...
Unapoamka asubuhi, amka kama simba dume, usiamke kinyonge kama nyumbu.
“Arise like a lion to serve your Creator in the morning” (Shulchan Aruch 1,1)
Kuna uhusiano mkubwa kati ya jinsi unavyoamka...
Hivi umeshawahi kujiuliza hata siku moja kusuduo la wewe kuumbwa!
Je umeumbwa kusaka tonge ?
Umeumbwa kuacha historia?
Au umeumbwa ili kuabudu?
Sasa ona maajabu haya;
Idadi kubwa ya watu duniani...
Half-caste kama tunavyojua inatumika kama kitambulisho kwa mtu ambaye amezaliwa kutokana na wazazi kuwa wa utaifa au ukabila mbalimbali. Yaani unakuta baba mzungu mama mweusi, au baba mtu wa asili...
Wakuu habar za siku? Niliwamiss wakuu, nilipotea kdg humu! Yaliyonipata ni kuwa kuna siku nililkunywa bombardier nikasahau nywila yangu!!! Lkn baada ya muda kupita nilikumbuka! Nimekosa mijadala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.