Jeshi la Polisi Tanzania kwa siku hizi mbili wametumia si chini ya shillngi millioni 300 kwa kutengeneza hofu"fear of unknown" na kwenda kupambana na hofu waliyo jitengenezea wao wenyewe.
1.Hatua...
Wengi tulipokuwa katika umri wa utoto tulikuwa na ndoto mbalimbali.
Je, maisha yako ya sasa yapo kama ndoto zako au yamekua kinyume na matarajio,
*share your experience
Hii ni simu yangu ya samsung, nimeifanyia customization kali sana kuanzia wallpaper, icon, renaming nk
Ukicheki hapo juu ni scree ya simu yangu ilivyo...prety cool isn't it guys?
Hap chini...
Bridge:
See Martin yah, woaai
Lawd a mercy
Woaai(wooaah),
Verse 1:
hey hey yo
It's not the first nor the last
So, so much pretty girl a pass, and
Holding out is such a task
That's why me a seh...
Asubuhi kabla ya kuanza shughuli zake anakunjwa energy drink
Mchana na jioni lazima anywe hizi pombe kali smart gin/ double kick. Ni mfumo wa maisha yake kwa kitambo sasa, tumpe conclusion gani...
Nchi za mashariki mwa bara la Asia kuna falsafa ya kale sana wanayoiamini kuhusiana na muunganiko na mahusiano ya binadamu. Falsafa hii inaitwa Red String Of Fate (Yīnyuán hóngxiàn).
Kwamba, kuna...
Furaha iliyoje, Lisu ni "mtoto" wa Rais Samia. Very good and fine! Sasa Mama mlipe mwanao Lisu stahiki zake za matibabu ambazo amekuomba muda mrefu.
Biblia inasema: ni mzazi gani mwanawe...