JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mbwa wangu huyu jamani[emoji23][emoji23]
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanaume huku kwenye mitandao ya kijamii ni ma"handsome" na wako "smart" sana, ila ukikutana nao nje ya hii mitandao ya kijamii utampa tu Kristo maisha yako. Utakuta kimwanaume huku kinavimbaa...
11 Reactions
45 Replies
3K Views
Unakuta mtu humu anajifanya mwema kumbe hamna kitu debe tupuu,.. Unaweza kuona mwenzako kaweka thread yake ambayo binafsi ndo alivyo na hajifichi nyuma ya keyboard,,, ili kutaka sifa kama wewe...
2 Reactions
81 Replies
4K Views
Hawa walikuwa ni maswahiba sana kabla ya uswahiba wao kuingiliwa na self interests! Huwa najiuliza sana kwanini mara zote wawili hawa huvaa pete mbili za ndoa moja mkono wa kushoto kidole cha...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
kwanini manamke hawezi kukojoa uku anatembea? naombeni mnijuze anaejua
0 Reactions
74 Replies
3K Views
Mm ni mmojawapo niliyekuwa nafatilia kombe la dunia kimya kimya sema hawa wachezaji walinikosha sanaa N'golo kante 812477 Mbappe Salah hubby Huyu Ronaldo na Messy huhuuuu pole yao...
3 Reactions
140 Replies
8K Views
nime wamis sana wanaume wa hum sjui kwanini nime mis uchangamfu wenu.
12 Reactions
299 Replies
14K Views
Habali zenu wakuu poleni na kupotezana kwa mda asanteni JF mmeturejeshea huduma. Kwanza kabisa wakuu natoa pongezi na kumshukuru Mungu nipo hapa Johannesburg mwezi na siku kadhaa nilipata kazi...
7 Reactions
37 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu. Siku moja nilikuwa gheto na manzi yangu sasa wakati wa malovedavi manzi yangu akajakushtuka kuwa kuna mtu dirishani anatuchungulia tukiwa tunafanya...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
yes yes, ni utani tu wa hapa na pale maana maisha yanahitaji tucheke tufurahie pia, unajua siku moja mdada fulani alikuwa amekaa na jamaa mmoja ndani ya room wanapiga stori, mara ooh jamaa...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Mwanamke umeenda kumtolea mahari kwao ya tshs million 2,.. Ukafanya sherehe ya tshs million 5. Unakuja kumpa talaka kwa kukuta sms ya tshs 50,.. Hivi hizi ni akili au matope?
1 Reactions
5 Replies
710 Views
Walevi nyoosha mikono juu
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Leo baada ya mihangaiko nikataka kupooza kichwa na koo nilipozoea kupata vyupa leo nimekuta bia zimeisha ila imebaki aina moja tu balimi kuuliza bei naambiwa chupa kubwwa buku jero nikajishauri...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Uongozi wa club ya yanga sc umekiri kusikitishwa na matokeo ya shule ya wasichana ya jangwani. source shishi.com
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimekua nikitupia nyavu katika mitandao ya kijamii ili angalau nivue watoto wawili watatu wakuvunja nao mifupa wakati meno ingali ipo, mara nyingi nimefanikiwa mara nyingi pia nimechezea vya mbavu...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Wanaume hivi mna mapepo ya kupenda nanilino!!!:(:( Wengi wenu mkifika benki akiona anahudumiwa na dada mrembo basi inakuwa tabu atajisemesha humoo, tena kwa sauti na kama kabinti kameingia kwenye...
6 Reactions
101 Replies
6K Views
Jinsi ya kubadili fadhaa/aibu kuwa fursa. Baada ya jana kuaibishwa. Jana nliandika namna nlivyoaibika huku wanaume wakiacha niabike mpaka kukolewa na mwanamke anayejiheshimu. Leo nmebadili ile...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwanini wanaume wa sikuhizi mkioga wanajisugulia boxer??? Hiv mmepatwa na nini nyie lakini[emoji23] [emoji23]
3 Reactions
80 Replies
3K Views
Yani mwanaume unatembea mtaani na kibka kabisa. Bukta zenyewe fupi hadi mapaja yanaonekana. Sidhani utakuwa mwanaume kamili kwa jamii zetu alafu uvae ki bukta kiko juu ya magoti.
6 Reactions
51 Replies
6K Views
Asubuhi ukute bank account ina $150 billion kama Jeff Benoz utafanya nini?
4 Reactions
62 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…