JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habarini wapendwa. Leo nimekaa nikawa nimepitia. Insta nikaona x kapost picha yake nikakumbuka neno mmoja mabalo nalikumbukka mpka leo liliniuma sana. Alinisumbua sana ikafika mahali nilipewa...
11 Reactions
141 Replies
5K Views
Wazee weekend inaingia, kuna mitoko na familia, nauliza bei ya misosi ya Serena hotel ikoje? Mwanaume nataka kubadili upepo kidogo Mke na watoto wangu wasizoee sehemu za kawaida ,
7 Reactions
62 Replies
3K Views
Wadau eti ilo draft lina option ngap za kula kwa kutumia iyo king ya blue Je nilazima kula kete zote izo tatu au Kuna option nyingine ya kula kete izo mbili
0 Reactions
3 Replies
241 Views
Jiulize kwanini sio wewe? Wamekufa wema kuliko wewe vijana kuliko wewe watoto kuliko wewe Umenipendelea baba🙏🙏🙏
0 Reactions
1 Replies
186 Views
Anasema kuwa anajuta kuchora Tattoo kwenye mwili wake lakini cha kushangaza ni hataki kuzifuta hizo Tattoos. Wengine sasaivi wamegeukia upande wa dini lakini bado wanazo hizo Tattoos na hawataki...
3 Reactions
4 Replies
258 Views
Kwema wakuu ? Ninasikia Madilu system aliwahi kufika Dar miaka hiyo. Kwenye wimbo wake unaitwa Djaffar amemtaja mtu mmoja anaitwa Anielo (sina hakika na spelling) kwamba mtu huyu ni mkazi wa Dar...
2 Reactions
20 Replies
602 Views
Tukio linaloendelea sasa ivi hapa tanga mjini maeneo barabara ya 12,katika hali isiyo yakawaida dada mmoja aitwae Nusurat Khamis mweny umri wa miaka 22 amekutwa na vichwa viwili kweny mkoba wake...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wanafamilia nimerudi tena dada na mdogo wenu kutoka Kanda pendwa ya ziwa mkoa wenye wasomi wa kutosha Nashukuru waliokuja pm kuniulizia kama nipo hai,nawathibitishia kuwa bado nipo hai na ni...
5 Reactions
32 Replies
454 Views
......... Utampata pale ulipopaki gari yako! Msituchoshe.
3 Reactions
9 Replies
248 Views
Hellow Leo nimefika shop kununua pipi kifua kifua kidogo kinanisumbua so nikasema ngoja nipate pipi kifua, nikatoa jero ili nipate kumi naambia moja 100 sio 50 duh nikauliza kwanzia lini wakasema...
8 Reactions
46 Replies
947 Views
Mwalimu gani enzi hizo ukiwa shule alikufanya ukaipenda shule au somo fulani? Mtaje hapa
1 Reactions
3 Replies
197 Views
Hadithi ya kuvutia sana Soma mpaka mwisho...utajifunza kutunza siri. Siku moja Mwanaume mmoja mtanashati sana aliingia hotelini na akaomba kumuona bosi. Bosi alipokuja, hadithi ikaanza. Mteja...
1 Reactions
0 Replies
317 Views
Za jioni wakuuu.................................... Anyway weekend iko poa? Nimekaa hapa nikakumbuka siku ya kwanza nilipoingia barbershop ebwanaaa eeeh ilikuwaa hiviii 👇👇 Niliona saloon...
4 Reactions
1 Replies
328 Views
Mfano : Mimi ndiye niliweka mchanga kwenye firigisi za kuku.
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Amin usiamin hapa JF kuna majukwaa (Forums) nyingi sana, kuanzia Jukwaa la siasa, Hoja mchanganyiko, Jukwaa la mambo ya kimataifa etc. Licha ya kuwa member wa JF kwa miaka mingi lakini kuna...
2 Reactions
35 Replies
771 Views
As per attached pls help m
4 Reactions
5 Replies
284 Views
3 Reactions
4 Replies
450 Views
Kuna huyu aliyesema; " I stared my restaurant with one spoon of rice and one drop tomato sauce"
0 Reactions
4 Replies
211 Views
Hadithi ya kuvutia sana. Soma mpaka mwisho, utajifunza kutunza siri. Siku moja Mwanaume mmoja mtanashati sana aliingia hotelini na akaomba kumuona bosi. Bosi alipokuja, hadithi ikaanza. Mteja...
0 Reactions
0 Replies
240 Views
Nimelishuhidia zaidi ya mara moja katika sehemu tofauti! Kipande kimoja cha sabuni kinatumika kwa matumizi zaidi ya moja: 1. Kuoshea vyombo vya kupikia 2. Kuoshea vyombo vya chakula 3. Kuoshea...
2 Reactions
22 Replies
761 Views
Back
Top Bottom