JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ukiwa unahitaji Faraja huwa unakimbilia wapi? Wengine Wanakimbilia kwa Mama zao au Baba zao. Wengine kwa wake zao na waume zao. Wengine wakichart Jamii forum wanapata faraja na kujifunza mengi...
8 Reactions
105 Replies
2K Views
Kwa mara ya kwanza napost ndani ya jukwaa hili,,wenyeji hope mko poa kabisa Sifa ya wanaume ni misimamo,kama mwanaume hana msimamo basi kuna shida pahala,mwanaume akisema jambo linatakiwa liwe...
5 Reactions
12 Replies
412 Views
Habari za muda huu wanaforums. Ni matumaini yangu nyote ni wazima wa afya. Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye lengo kama heading inavyojieleza. Siku moja hivi nilikuwa bored sana na...
27 Reactions
186 Replies
4K Views
Nimeumia sana, kama mwanaume mwenye heshima zangu na kijana smart, kuonekana makalio yangu na mpenzi wangu. Ni week sasa nakula mlo mmoja tu kwa siku tena kwa shida sana, napo ni baada ya...
21 Reactions
87 Replies
6K Views
Mara ya kwanza nimeenda out na rafik yangu tukaagiza chakula sasa kika kimechelewa na kikaja cha baridi. Rafiki yangu akamuita yule muhudumu akaanza kumfokea hadi watu wa meza nyingine wakaanza...
3 Reactions
3 Replies
231 Views
Hiyo ni ndoto yangu kubwa nisipoifanikisha mimi basi mwanangu atakuwa Rais. Ndoto lazima ifanikiwe hata iweje.🙏
9 Reactions
70 Replies
743 Views
Yaani asikwambie mtu machungwa ya tanga ni matamu sana hasa upate yenye maji mengi na kiharufu Cha asili mengi, nnakwambia utaloesha hadi ndevu, afu upate yenye kiharufu Cha asili. Ni kutafuna na...
8 Reactions
42 Replies
2K Views
1. Karibu bongo ambapo watu wapo bize na habari za maisha ya wasanii kuliko kufuatilia afya yake.🤗 2. Karibu bongo ambapo harusini lazima lipikwe pilau.🙄 3. Karibu bongo ambapo mtu ana funguo ya...
2 Reactions
4 Replies
388 Views
Eti ni kweli kunguru akifa mzoga wake hauguswi na kiumbe chochote wala kuliwa na kiumbe chochote? Wanasema kwa vile alilaaniwa kwenye vitabu vya dini
0 Reactions
0 Replies
223 Views
Hivi Siku mara paaaaap kwa bahati mbaya Sura zetu zote zikaonekana kwa dakika kama tano ( 5 ) katika Simu na Laptops zetu ambazo tunazitumia Kuchati au Kuandika mambo yetu mbalimbali hapa halafu...
5 Reactions
23 Replies
627 Views
Wajameni, hebu tufanye tuko ndani na tunaishi ndani ya nyumba moja ambapo vihoja, vituko na vibwanga havikosekani! Vingine vinafurahisha na vingine vinakera! Haya mimi naanza….. “Nani kala kiporo...
0 Reactions
0 Replies
185 Views
Usiku ni mrefu ila ukilala na kuota ndoto za ajabu ajabu huufanya uwe mrefu zaidi. Kuna baadhi ya ndoto nikiota ni ngumu sana kuzikumbuka na hizi ndio hunipa hofu hasa nikiota ndoto mbaya. Huwa...
14 Reactions
113 Replies
2K Views
Wakenya wameanzisha tabia yakusema Diamond nimsanii wetu basi Warwanda, Uganda, Burundi na nchi kibao wanashindana kusema Diamond nimsanii wetu replay zaidi ya elfu 12 ni Diamond is our artist...
2 Reactions
3 Replies
364 Views
General Knowledge. Naam, kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Natumia fursa hii ya mtandao adhyim wa JF kuwapa fursa wanamtandao wote wapate fursa ya kuuliza kuhusu mada au jambo lolote ambalo...
103 Reactions
3K Replies
272K Views
Wadau msaada tukutane wapi ambapo Wanaume 4 tunaweza kupata chakula Iringa mjini tukipita saa 7 Leo chakula ambacho sio cha kusubiri, fresh na matunda juisi , nyama , supu Samaki na kuku
1 Reactions
3 Replies
258 Views
Yaani kuna Zoezi moja naona ameshika Mashine huku anaichanua Miguu yake Kulia na Kushoto na 'Kitu' Kimetuna tu.
11 Reactions
79 Replies
5K Views
Salamu Azuma, umejaa tiba, Uponyaji u nawe. Umebarikiwa kuliko dawa zote, na mgunduzi, wa formula yako, amebarikiwa. Azuma antibiotiki, Mtibu wa magonjwa, utuponye sisi wagonjwa sasa na saa ya...
16 Reactions
36 Replies
2K Views
Asanteni sana kwa wale walionuwa wanapita pita kwenye post zangu na kuchukua uongo na ukweli,post zangu zimefika views laki moja ni jambo la kushukuru.
10 Reactions
36 Replies
642 Views
5 Reactions
23 Replies
532 Views
Back
Top Bottom