JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mpangaji akimuongelea Baba mwenye nyumba, Mwenye Nyumba akimjibu Mpangaji Kazi kweli kweli!
2 Reactions
3 Replies
301 Views
Huyu Jamaa wiki iliyopita nilikuwa naye pale Dodoma,ajabu ni kwamba kuna mambo alikuwa akiniambia nikawa nashangaa tu! Baada ya kugundua alichokuwa akimaanisha,aiseee nimetafakari sana usiku wa...
7 Reactions
34 Replies
2K Views
Namtafuta Sana Mshana Jr, nimejaribu kumcheki PM ila haikubali kutuma
7 Reactions
27 Replies
1K Views
Enzi zetu tulikuwa tunakosea zaidi yenu. Enzi zetu teknolojia haikua njema kama leo. Enzi zetu tulijiachia kwa mengi zaidi ya leo. Inawezekana miaka yetu tulikosea pakubwa zaidi ya makosa yenu...
5 Reactions
12 Replies
292 Views
Umezaliwa mwezi Agosti? Tazama video kufahamu tabia unazofanana nazo pamoja na kuwafahamu zaidi watu wengine waliozaliwa mwezi huu.
9 Reactions
21 Replies
2K Views
Hii ndio ile Sold out tunayotamba nayo, unanunua bia 4 kisha unajipatia ticket ya bure ya Simba Day.
5 Reactions
27 Replies
775 Views
Yaani unaweza 'Ukaukweka' huku ukiwa unakula Chakula chako Safi huku kwa nje ukiwakodolea tu Bundi na Ngedere.
0 Reactions
1 Replies
189 Views
Katika kizazi hiki chenye watu wenye NGUVU ya pesa, BRO 😎 ukipata mwanamke MWAMINIFU na huna pesa...mheshimu sana huyo dada na muombe abaki na wewe🌚!!
2 Reactions
1 Replies
97 Views
Hii huwatokea wanafunzi wengi wa vyuo kwa ndugu zao. Kama mtu unaweza hebu jitume mwenyewe tafuta njia yoyote ya kujitafuta ili upate pesa za kujikimu. Avoid it.
4 Reactions
6 Replies
269 Views
Wanawake 3 hatari zaidi , mke wa mtu, mwanafunzi watatu malizia ni nani?
0 Reactions
2 Replies
427 Views
Wanaume, Kuachwa na mwanamke mpenda pesa ni sawa na kumaliza deni la mkopo benki
1 Reactions
0 Replies
194 Views
Yaani kila nikiwatizana 'Wakubinuka' daima hata kwa Kuwatizama katika Kioo ninaona Wote wamejawa na Hasira Kali.
1 Reactions
4 Replies
252 Views
Niko mpweke humu jamani. Nahitaji mtu wa kunichangamsha, mwenye kujua mapenzi hasa muda wote niwe na furaha. Pleeease!!!
6 Reactions
178 Replies
9K Views
Kawaida yangu nilikuwa nakaa nalalia blanketi hata mwaka mzima sijafua tena nilikuwa napiga kavu situmii shuka la kuzuia jasho ama uchafu mwengine. Dry cleaners wanatusaidia sana maana kufua kwa...
2 Reactions
35 Replies
456 Views
Humiliki kiwanda chochote, hakuna bidhaa unayozalisha na kuipelekea nje; wewe kila siku ni kulia lia tu. Mshahara ukichelewa tu kidogo, unakimbilia kwenye ule uzi pendwa. Kwa upande wangu, mi...
10 Reactions
28 Replies
548 Views
Tunaomba na kushukuru kwa yote Mungu anayotutendea.
2 Reactions
7 Replies
288 Views
Habari za Jumapili wakuu; Katika maisha mahusiano, kitu kinachoitwa mapenzi kuna wakati hulazimika kupiganiwa ili yadumu. Hii ni kutokana watu wawili wanaopendana wana makuzi na tabia tofauti...
22 Reactions
243 Replies
10K Views
Haya ni maamuzi yangu sijashawishiwa na mtu na sitegemei ahsante ya aina yoyote
2 Reactions
3 Replies
663 Views
Daaah haya maisha aiseeh, ndio maana kuna msemo usemao “PONDA RAHA KUFA KWAJA” Sasa nimejikuta SITESEKI kabisa zaidi ya miezi 2 kumbe bwana nakula “MTAJI” 🥺
9 Reactions
11 Replies
347 Views
Huyo Binti sijaona vionjo vyake humú,muongo mmoja,she was gifted in story telling.ukisoma story zake utafikiri umeshika kitabu Cha James Hadley Chase! Haboi Wala kupoa. Maua yake popote alipo.
4 Reactions
6 Replies
235 Views
Back
Top Bottom