Huyu Jamaa wiki iliyopita nilikuwa naye pale Dodoma,ajabu ni kwamba kuna mambo alikuwa akiniambia nikawa nashangaa tu!
Baada ya kugundua alichokuwa akimaanisha,aiseee nimetafakari sana usiku wa...
Enzi zetu tulikuwa tunakosea zaidi yenu.
Enzi zetu teknolojia haikua njema kama leo.
Enzi zetu tulijiachia kwa mengi zaidi ya leo.
Inawezekana miaka yetu tulikosea pakubwa zaidi ya makosa yenu...
Hii huwatokea wanafunzi wengi wa vyuo kwa ndugu zao.
Kama mtu unaweza hebu jitume mwenyewe tafuta njia yoyote ya kujitafuta ili upate pesa za kujikimu.
Avoid it.
Kawaida yangu nilikuwa nakaa nalalia blanketi hata mwaka mzima sijafua tena nilikuwa napiga kavu situmii shuka la kuzuia jasho ama uchafu mwengine.
Dry cleaners wanatusaidia sana maana kufua kwa...
Humiliki kiwanda chochote, hakuna bidhaa unayozalisha na kuipelekea nje; wewe kila siku ni kulia lia tu.
Mshahara ukichelewa tu kidogo, unakimbilia kwenye ule uzi pendwa.
Kwa upande wangu, mi...
Habari za Jumapili wakuu;
Katika maisha mahusiano, kitu kinachoitwa mapenzi kuna wakati hulazimika kupiganiwa ili yadumu.
Hii ni kutokana watu wawili wanaopendana wana makuzi na tabia tofauti...
Daaah haya maisha aiseeh, ndio maana kuna msemo usemao “PONDA RAHA KUFA KWAJA”
Sasa nimejikuta SITESEKI kabisa zaidi ya miezi 2 kumbe bwana nakula “MTAJI” 🥺
Huyo Binti sijaona vionjo vyake humú,muongo mmoja,she was gifted in story telling.ukisoma story zake utafikiri umeshika kitabu Cha James Hadley Chase! Haboi Wala kupoa. Maua yake popote alipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.