Nmejiuliza sanaa Maswali Mengi kuhusu Hospitali ya ugonjwa wa akili kwann waliamua kuijenga Dodoma.
Wakuu Naombeni Maelezo juu ya hili jambo,Twende kazi sasa.
Ni aibu ambayo ni ngumu kuikana na utajihisi guilty
Miaka ya nyuma kuna kipindi niliwahi kuishi kwa mjomba nikiwa nasoma form 5, Nilianza tabia sugu ya kujichua huku naangalia video za x, kwangu...
Tanzania imeitaarifu Zambia kwamba hawako tayari kumpokea balozi wao mpya kutokana na majina yake kubeba tafsiri isiyokubalika katika jamii ya Watanzania. Balozi huyo mpya anaitwa Mr Musenge Mukuma.
Hii tabia kuna mtu ameshakutana nayo? Unaenda dukani kununua maji makubwa unapewa ila ukifika nyumbani wakati wa kufungua unagundua hakuna seal
1. Nikiwa Mgahawa fulani nje ya mji niliagiza maji...
Anyway ni kukumbushana hasa wakati hu wa weekend tusiamini sana hotel ama baar zetu jamani
usile ukashiba ukakimbilia kufungua mlango mara umemaliza shuguli kuangalia maji hakuna
toilrt paper...
Habari wakubwa,
Nimesikiliza Tangazo la Konyagi wanasema inatakiwa ilale na isisimame je Pombe kali kama Konyagi/Kvant kwanini wengi wanapenda kuilaza sababu nikinywa ulevi ni ule ule tu...
Shikamoooni wakubwa, wadogo marahabaa..
Katika maisha kuna vitu vingi mwanadamu hupitia vingine vinakuumiza, ila mwisho wa siku unapata la kujifunza. Ule usemi wa mjini Shule nikadhani kuna...
Nimefukuzwa kazi usiku nikiwa ukumbIni na konyagi yangu alafu gari la ofisi wamelichukua bila kuambiwa hata kunibeep ila sikuwa na bando sababu mimi ndio mpandishaji wa vifurushi.
Kilichoniuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.