Kiukweli ilikuwa ni wiki nzito sana kiasi Cha maigizo ya Mchungaji Msigwa kutofuatiliwa kabisa
Mungu wa Mbinguni atuhurumie wiki tunayoanza kesho akatufanyie Wepesi
Ahsanteni
Mlale Unono 😀
Nilivyoanza kazi bwana kila weekend utanikuta kwenye expensive restaurants naenda pale kufanya kazi na kujaribu news dishes as a way ya kujipongeza baada ya wiki nzima kuwa kazini.
Wee baada ya...
Ukihitaji salamu kutoka kwangu,nimekwambia subirini kwanza hiyo Tarehe 8.8.2024 Utopolo atakapomng'uta Kololizard 5 - 1 ,Tofauti na hapo mtaula wa chuya!
Lei Nina taka niwatoooooo toooooo...
Tanzania and Nigeria, two prominent countries in Africa, share numerous similarities in their legal frameworks due to their colonial histories and subsequent legal evolutions. Both countries have...
Ebana wanajamvi inakuwaje?
Maisha ya binadamu yapo kwenye msingi wa vitu vitatu.
Kula, Kunya na Kujamiana
Na vyote hivi vitatu vinawezeshwa kikamilifu na pesa.
Tutafuteni pesa asee.
Yaani na ndevu zangu na ukubwa huu lakini bado nikichukia naanza kulia, mfano juzi kati kuna mtu alinisingizia kitu ambacho sikufanya nikajikuta tu naanza kulia mbele za watu, baada ya kulia...
Yaani wakianza kuomba hela, wanaomba wote kwa mara moja😀 utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi.
Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za...
Nitavumilia tu hadi nikirejea kwa Mapumziko au Majukumu yangu Kumalizika huku ili niendelee Kula Mdudu (Kitimoto) kinachopikwa vyema na Watanzania. Yaani Wabongo wote mlioko hapa Jijini Kampala...
Nina 'likes' nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii, lakini hizo 'likes' hazinisaidii chochote katika utatuzi wa changamoto zangu za kimaisha.
Nini kifanyike ili hizo 'likes' zibadilike na kuwa...
Nigerian guy living in Sweden smartly
married a Swedish lady, so as to be
legally certified with resident permit, but
the lady was not aware of this.
He lied to the lady that he is from Kenya...
Wakuu nimechoka toka jana sijalala...
Nahisi kuchanganyikiwa...
Nahisi maluwe luwe .
Sielewi kwanini haya yanatokea kwangu...
Nimechoka sasa nimechoka.
Kama mbwai iwe mbwai tuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.