JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Uongozi wa JF, Tunaomba kabla ya Sept 30, 2024 tuwe na JF party sehemu tu ya kawaida tupeane mawaidha. Kwa wale madada tutafurahi kuwaona badala ya kutiana moyo inbox. Ahsante, nawasilisha.
30 Reactions
321 Replies
5K Views
Uongo wangu kwa siku ya Leo 1. Mimi ndio nimemtuma Mzee wa Magoma wa Yanga aende mahakamani ili tumuondoe Eng Hersi, alafu baadaye nichukue timu. 2. Vijana wa Gen Z Kenya nawalipa ili...
0 Reactions
12 Replies
323 Views
Shindano liwe la wazi na lifanyike kwenye uwanja wa wazi, kina Mwamposa, Kuhani Musa, na walokole wengine konki, wakashindane na wachawi konki kama Mshana Jr, Bujibuji Simba Nyamaume na wengine...
22 Reactions
123 Replies
5K Views
Tunda hataki mazoea kabisa na vijitu vya ajabu ajabu, na amedhihirisha hilo kwa kumtamkia maneno makali kwa aliyekuwa mpenzi wake Casto Dickson kwamba akome kumfuatilia na ajue kuachwa sio kila...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Nakumbuka nikiwa nakua kila nikiosha vyombo bibi alikuwa anasisitiza nianze na vikombe na glass za maji ili visiwe na harufu ya mafuta au michuzi. Ila sasa hivi naweza anza hata na sufuria...
3 Reactions
15 Replies
665 Views
Kitanda Fridge Gas cooker/ jiko la mkaa/ stove Subwoofer TV pana kiasi Leseni ya kuendesha gari Kabati la nguo na viatu Feni Sofa Mchongo wowote wa kukupa kipato halali Then baada ya hayo...
9 Reactions
24 Replies
891 Views
Sasa hivi angekuwa studio ana rekodi ngoma " WHO SHOT YA" . Just like what Biggie did in 1994 after Pac was shot at the Quad Studio premises.
2 Reactions
1 Replies
215 Views
Habari za muda huu ndugu zangu, Nipo safarini kutoka Dar es Salaam kwenda Arusha na basi la BM T817 DY. Safari inaonekana kuwa ya kawaida sana, maana hapa nimekaa na bibi mtu mzima ambaye amelala...
0 Reactions
29 Replies
1K Views
Nakaribia kuingia Moshi mjini, nipeni ramani nikapoe kiwanja gani cha ukweli,kama night club yenye lodge humohumo.
1 Reactions
5 Replies
389 Views
We all have at one point worn second hand clothes. These second hand clothes are normally so cheap that we buy them in bulk. Most of us never care to read or understand what is written on these...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanawake siku zote hawajioni kama wao ni maskini, ila wanachojua ni kwamba wako kwenye mahusiano na mwanaume asiye na hela.
5 Reactions
4 Replies
263 Views
Anayejua huyu bwana aliko atujuze, Au kalamba Uteuzi sasa analamba asali? 555.
7 Reactions
32 Replies
801 Views
Habari zenu Watu wangu. Naomba msaada kutambua hiyo picha hapa chini itakuwa imepigwa mahali gani? Asanteni.
0 Reactions
9 Replies
663 Views
Karibuni Tujadili changamoto tunazakutana nazo kwenye Uchumi, Mahusiano, Kisiasa, kidini na Kijamii Mimi naanza jamani ULEVI tunafelisha sana KARIBUNI...
7 Reactions
15 Replies
596 Views
We can know who's man and who's gentleman through defference aspects A man tries to make his mark, a gentleman strives to leaves a mark, a man accepts a favor, a gentleman returns the favour, a...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kusema namba ambayo amekuwa akiitafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenye shida kwa kumtumia namba hio hapa. Mimi kama...
3 Reactions
124 Replies
10K Views
Kwenye 'D' zako mbili math ilihusika au ni mwendo wa F-agio...!!!?
5 Reactions
5 Replies
260 Views
Maisha Yana story ndefu, Nilipenda kusoma science, sema nilikutana na matopic magumu sikuchelewa kukimbia. Kwanza namlaumu huyo aliyetunga topic ya maths ya LOGARITHMS 😅 Aisee hili jiwe me...
12 Reactions
102 Replies
12K Views
Ukimtizama bodaboda, ni kosa atakurukia na kukuuliza kwa lazima kama waenda, Ukimtizama muuza duka kosa Ukimtizama konda kosa... Ukimtizama mpiga debe kosa kubwa sana.... Ukimtizama tu au kutizama...
16 Reactions
42 Replies
992 Views
Back
Top Bottom