BREAKING NEWS :
Linda Thomas yule dada anayesemaga "Salio lako halitoshi kupiga simu hii." amefariki dunia.
Kupiga simu kwa sasa ni bure, piga haraharaka kabla hawajarudi msibani, watazuia
Wakuu salama?
Nimeona tukumbushane mambo na vituko vya mboka na story kibao za mkoa ule! Na mitaa, matunda ya porini km Magongoti, vijana Wa mboka, Mwanaisungu etc.
Wakuu Mwenye story ya...
Kampuni ya Vodacom,imekuwa na usumbufu mkubwa sana.
Ukitaka kuongea nahuduma kwa wateja inakuwa ngumu,wanakuunganisha na online zao ambazo huwezi kumpata mhudumu wao.
Mwenye namba zao za Moja...
1. Nitahesabu idadi ya Moderators wote wataokuwepo Ofisini Siku nitakayoenda Kuchukua Zawadi yangu na Wote watakunywa Soda Mpya, Tamu na niipendayo ya Super Commando kutoka Kampuni ya Pepsi.
2...
Mwenye simu kubwa ya macho matatu halafu hana kazi inayoeleweka. Acha ujinga vaa kondomu.
Mwenye kuchanganya lugha anavyoongea mara anapiga kiswahili anaingizia na kiingereza humohumo. Tumia...
Habari za muda huu waungwana, wanachama na wapenzi wa Jamiiforum,
Ikiwa leo ni zaidi ya miaka 15 tangu kuanzishwa kwa Jamiiforums, mtandao huu umekuwa kwa kasi sana miongoni mwa Watanzania na...
Habarini za wakati huu members na msiokuwa members humu Jamii forums.
Wote nawasalimu kwa jina la Allah na Mungu mmoja.
Za muda huu.
Kama ambavyo tumejiandaa katika kuelekea kufanya party yetu...
Kuna mshikaji mmoja alikuwa kinyozi. Saluni yake ilikuwa katika ghorofa ya tatu. Kadiri siku zilivyokuwa zinakwenda wateja wakaanza kupungua na ikafika kipindi hakuna hata mtu anayekwenda kunyoa...
Eleweni neno " nipokeeni".
Niliandika uzi majuzi nikuuliza niende Newala au Songea?
Lengo langu ni kwenda kufanya utalii wa ndani.
Lengo la kwenda Newala ni kujifunza kwa vitendo kuhusu "...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.