Salamu wakuu...................
Jazeni nafasi wazi apo juu Kwanzaa. 😂😂😂
Anyway, straight to the point 👉 Kama kichwa kinavojieleza je, wewe uliufahamuje mtandao huu
Binafsi nilikuwa kila...
Kumekuwa na tetesi kuwa Biden si mwanadamu kwani ameonekana mara kwa mara akifanya vitu kiroboti na pia network zake zimeonekana hazipo vizuri je haya yote ni ya kweli au uzushi tu.
May today be filled with smiles, laughter and love!
Karibuni wote mje kula cake mida ya saa moja jioni.
Siku ya leo napenda kumjua twin angu ndani ya jf, nimlishe cake who is s/he?
Happy...
Naiona nafsi yangu ikiwa kwenye mateso makubwa zaidi ya niliyo nayo kwa sasa, wakati wa furaha yangu hautakuwepo tena.
Niendako napajua ila sijui pameandaliwaje, mioyo yenu yenye huzuni...
Wakuu leo weekend, turelax na threads kama hizi za kujiliwaza akili...
Naanza mimi,
Kuview comments tu,kulike aaaah
Kuingia jf tu, kanisani aaah
Nawakaribisha na nyie katika challenge hii ya...
Mu khali gan wana Cc nataka kuuliza hv kweli wapenzi wa zamani waliowahi kuzaa na kuachana hawawezi kuachana moja kwa moja. Lazima wanakumbushiana yale mambo yetu pindi napoonana
Kama mtu ambae napenda kufanya research, Kutokana na utafiti (si utafiti wa kisayansi kwa 100%) nilioufanya nimegundua kuwa wengi wa member wa JF huamini ndivyo sivyo kuhusu member wenzao...
mf:
1. Arushaone nahic atakua ni mtu asiyenyoa ndevu. pia atakua anapenda kuvaa suti koti na suruar tofaut.
2. Mamndemi ni mmama mwenye watoto na mwenye staha ila akiwa humu anajiche2a
3 Mzizi...
Aisee humu JF Kuna nini.
Me ndo natumia muda wote Sina hiyo Facebook, Instagram, x n.k.
Muda mwingi Niko hapa kusogoa, kutaniana, kujifunza, kushare mengi
Naipenda JamiiForums mno
wale wazee wa Cc hebu tianeno hapa hawa vidume wawil yaan nisiyempenda had leo nimwez na nusu hata kubp anasema yuko bze ila upande wa pil huyu ambaye hata punje ya mapenz cna ndo anajua mm...
Eti wakuu mnaonaje namimi mkinielekeza mmefanyaje hadi mkayapatia maisha kiasi hiki. Nimepitia nyuzi nyingi sana nimegundua anayemiliki gari ya hali ya chini kabisa ni Mshana Jr mwenye BMW Series...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.