JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ndugu zangu poleni na shughuli za ujenzi wa taifa, nimeona nijaribu Ku discuss na nyie kuhusu yanayompata snura, Kiukweli naamini kabisa kuwa matendo yako yanaweza kuwa chanzo cha matatizo yako...
3 Reactions
1 Replies
6K Views
Signed out
51 Reactions
258 Replies
5K Views
Kuna Vidonge Viwili Cha Blu na Chekundu Ukichagua Kidonge Chekundu: Unarudi kuwa Mtoto wa Miaka 6 pamoja na Ujuzi Wote ulionao kwa sasa Ukichagua Kidonge cha Bluu unapatiwa Tsh. Bilioni 1...
5 Reactions
34 Replies
1K Views
Habarini wakuu, Huku Michezo ya Olympics Ikiendelea Jiji Paris- Ufaransa. Michezo mingi ya kizungu lakini sisi tunaona ya ajabu ajabu. Ila na sisi wangetuekea michezo yetu ile ya rede na...
2 Reactions
8 Replies
647 Views
Mwezi wa kwanza: Sasa ndugu yangu unajua kwanini nimekwita tukutane hapa? Nepi: Hapana ndugu yangu, hebu niambie.. Mwezi wa kwanza: Mimi nina nia ya kupambana na yule mama katika kinyang'anyiro...
9 Reactions
65 Replies
4K Views
Mwaka 2002 nikiwa kijana mdogo wa sekondari nilifanya jambo la kipuuzi sana na ilikuwa dhambi. Nakumbuka ilikuwa ni kipindi cha likizo ya mwezi wa 6. Kwa miaka yote 6 ya sekondari sikuwahi kusoma...
9 Reactions
34 Replies
1K Views
Hi chit chat Kila binadamu naamini kipo kitu anachoenjoy kufanya Binafsi napenda sana sana sanaaaa mziki ....hiyo ndiyo starehe yangu kubwa na huwa naenjoy sanaa Wewe je?
15 Reactions
387 Replies
24K Views
Kwa haraka haraka niwakumbushe mawili tu 1. Kuna jela - Maamuzi na matumizi sahihi ni muhimu sana 2.Tu enjoy kidogo hasa tukijifariji " why should we die with health liver and lungs ?" Ni...
15 Reactions
85 Replies
2K Views
Aaaah! Wakinga Mbwana Kila siku kujimbwamba fai. Kua sijui mnamaghorofa kko sijui mna mambembele cargo. Lakini hayo yote ni sifa za kijinga kama kampuni Bora ya mabus itwayo ABC Ina wapeleka kwenu...
3 Reactions
7 Replies
212 Views
Wakuu kama ilivyokuwa kichwa Cha ujumbe hapo juu. Niko under pressure ninatakiwa nifanye presentation kesho mchana na ninajiona kwa kila namna sijakamilisha some infos. Please msaada wenu...
3 Reactions
18 Replies
529 Views
Hili chimbo huko Mjini lipo pande zipi?
7 Reactions
45 Replies
2K Views
Ndugu zangu ambao ni majob-less habari na amani iwe juu yenu! Karibuni katika ukurasa wetu tupige story na kupeana moyo kwa kipindi hiki kigumu tunachopitia.. Vilevile kama kuna michongo, ideas...
28 Reactions
271 Replies
10K Views
Leo Nakuwa MNYENYEKEVU KULITOKUKA Kwenu Nyote Kwani Hivi Ninavyoandika Huu Uzi Nimejifungia Toilet Ili Huyu Mke Wa Mtu Na Hawara Yangu Asijue Kuwa Nawasiliana Na Nanyi. Kwanza Kabisa Napenda...
2 Reactions
41 Replies
10K Views
Member wengi waliopo Jf ambao hawajaweka avator hawajui kuapload. Yeah ndivyo ilivyo kama unabisha andamana mpaka ofisi ya wazri mkuu
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Rejea mada tajwa Uzi huu ni kwa ajili ya VISA/ MIKASA ya kushangasa na pengne mtu akaja na jawabu la mkasa wako unamaanisha nini au tafsiri ya mkasa ulionao. Mimi nimehama mkoa wa ziwa na...
4 Reactions
7 Replies
391 Views
Weekend tunapumzisha vichwa na vodka kubwa Kidogo We weekend imekukuta wapi ? Missing rhumba kipindi Niko na Marehemu Akukweti, na Magufuli! Japo nilikuwa mdogo kwao! Masilingi upo Powa? Britanicca
20 Reactions
143 Replies
4K Views
Jamani niko mkoani Kagera kikazi, nimetahadharishwa nisiende kijiji cha Buzi, wanakula nyama za watu, nasikia hata wamachinga hawaendi huko kufanya biashara.
0 Reactions
60 Replies
14K Views
Back
Top Bottom