Kuna manzi wangu humu jaman eti kanimwaga kisa avatar hizi du! Lol!
Nimembembeleza wapi hanielewi tena kachukua man mwingine humu humu!
Nasikitika yani manzi mtamu ana kisima cha ubatizo cha...
*_Kumsaliti mkeo haimaanishi humpendi! Hii ni kama kukodi taksi na wakati una gari yako nyumbani. Hii inakusaidia kuokoa mataili yasiharibike haraka na hata gari lionekane halijatembea umbali...
Twende tukaoe.
wapi ?
Iringa.
kwanini ?
(kimya)
hata kuoa nako kuna hitaji maamuzi magumu.
ndio mwalimu.
Ndio,kwanini ?
kwa sababu ya saa ya mkononi hailingani na saa ya ukutani kimajira...
Habari za humu wapendwa kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji Greater Thinkers waje inbox ili wanipe ushauri kwasababu nikitoa uzi hapa wengi wanaona kama utani vile
Ipi kozi nzuri kati...
Hello Friends, I live in Arusha I would like to get friends who speak English fluently, I am an intermediate user so i wanna boost my speaking Skills, I have friends out of my country and i always...
Habari zenu wakubwa zangu, wazee wenzangu mayanki wenzangu kwa vile vizee vilivyomo humu shikamooni.
Ni kawaida yangu mimi kushinda jf maana naona ndo sehemu pekee inayonipa burudani na...
Leo ikiwa ni siku ya wanawake duniani
Mwanamke yupi amechangia kuifanya jf motooo!
Kwa michango yake ktk nyuzi na namna anavyotuelimisha na kutuchangamsha
Categories ni
Mburudishaji bora...
Yani watu baada ya kugundua tu kuwa wameanza kushikwa pabaya na wachimba mafuta,bila ya haya wazee wa kimila au timu ya fundi wale wapiga ngoma si wakatuma mizimu yao ikazima umeme.
kuona haitoshi...
Kumekuwa na kasumba humu ukileta jambo lako ili usaidiwe kimawazo basi wataanza kukunanga na kukuletea maneno ya jeuri eti oooh!Nyie wanaume wa Dar ndivyo mulivyo! Ina maana sisi wanaume tunaoishi...