Haha aisee nikikumbuka Hizi mambo huwa nacheka mno, hivi huyu mgunduzi wa hizi mambo za kukata MIKIA,kupigisha SIMU chooni na ile ya kumpa form one tsh 100(mia) akakununulie maandazi matano na...
Hivi ni kweli kabisa hakuna alieipigia kura nyimbo hata moja ya WCB ??!!! Siamini hata kidogo.
Hivi hili bifu ni la :
1.Diamond na Clouds?
2.Diamond na Ruge?
3.WCB na CLOUDS?
4.Salam na Ruge...
Jamaa mmoja anayejua sana kuchamba watu, simjui kwa jina, nimeikuta hii video akiwasema wa mama wanaopenda kusalandia vijana wadogo wenye umri kama watoto wao waliozaa. yaani BEN TEN alafu...
Mwenyezi Mungu awe pamoja nanyi wana wa Mungu.
mimi ni mwanafunzi katika chuo kimoja hapa DSM nasomea Bachelor ya Civil ENG, tatizo langu ni kwamba ni kama uwezo wangu umepungua.
Kuanzia darasa...
Habar wana JF.
Nmekaa nimetulia mara imeingia mesej naangalia ni mesej ya hawa matapeli wanaojifanya waganga
Daah hvi bado wana imani tu ya kupata watu wa kuwapiga hela kwa njia hii kwel!??
Kuna mchezo wa Tennis ukichezwa na vijana wanne. Ambao ni Ali, Bev, Caz na Dan. Huu ni mchanganuo wa jumla wa miaka yao.
A + B = 68
C + D = 61
C + B = 50
A + D = 79
Tafuta umri wa kila mmoja na...
Nilikuwa nikiishi nae nyumbani kama
Mimi mume na yeye mke...kashifa na vituko.
Vyake vimenishinda vya kunirudia usiku amelewa aiwezekani..na stak kashifa na vituko vyake sijasahau.
Leo niko na...
Mara nyingi nimekuwa nikisikia hili neno Upungufu wa nguvu za kiume...Mpaka kuona mabango na Matangazo
Je kwa wajuzi nini Maana hasa ya upungufu wa Nguvu za Kiume na Husababishwa na nini?
Wakuu habari za mihandaiko ya Mchana kutwa.................Kwa Uzalendo uliotopea na Kutukuka kuanzia leo 24.02.2018 nitakuwa na Ratiba ya kuangalia/kusikiliza TBC...........Hebu tuungane...
Natumaini mnaendelea vyema nyote,nimewamiss wanachitchat nimerudi haka kajukwaa nakazimia u know[emoji8][emoji8] zamani sikujua kama chit chat ni tamu hivi.
Nimekaa leo peke yangu tu mara nasikia...
Kusahau ni changamoto kwa watu wengi sana.
Kwa sababu ya kusahau :(hasara)
-wanafunzi na wanavyuo wanakesha kujisomea. Kama kungekua Hakuna kusahu basi ingewezekana kusoma chekechea hadi chuo...
Mimi kiukweli wangu alikua aeleweki kuna mda akivaa jeans anakua na umbo la funguo ya Bajaji
Akivaa Dera ndo kama Mtungi wa gesi
[emoji769]Twp[emoji124]
ndioooo,,,,,,,
kweli hutokea jamn kwakua sio sis tunao panga au tunao taka iwe bali mara nyingi n mipango ya mwenyezi mungu mwenyew alie amua tupitie yote katika maisha,,,,,,,
kuna wakati...
PART 1
Sitasahau siku nilipompa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha nne aliyekuwa anasoma Jitegemee ambaye baba yake ni askari police mwenye vyeo vyake kibao.
Ilikuwa ni ijumaa jioni miaka mingi...