Wakuu wasalaam,
Bwana mimi huwa sipendi kubishana kabisa na mabinti na hata akinikosea huwa siwezi kumfanya chochote namuangalia na kumwacha tu. Kama ni muelewa huwa namkanya aache kitu fulani...
One day nko na my friend night tumetoka kupiga maji taka bar flani hv mitaa ya sinza kipindi hiko ndo nmeingia dar kutoka mkoani bado sijalizoea jiji.tukiwa tunajikongoja kurudi nyumbani jamaa...
Habari za asubuhi wakuu,ni matumaini yangu kuwa ni wazima na poleni na majukumu mbalimbali ya kulijenga Taifa.
Kwa kipekee nampongeza sana aliyeanzisha uzi wa kupeana likes kwa ubunifu mkubwa...
Mchaga, Msukuma na Mchina walikuwa wamekaa hotelini wanakula chakula.
Ghafla nzi akatokea dirishani akaenda kwa mchaga, mchaga akamfukuza.
Nzi yule baada ya kufukuzwa akaenda kwa msukuma, msukuma...
Saaaaalm...
Natumain week end imekaa poa sana kwako.
Bila kupoteza muda naenda moja kwa moja kwenye mada
Husika na kicha cha Uzi
Kuna jamaa angu mmoja n rafiki yangu kipnz
Leo kaja kwangu...
Habari wana jf!
Kwanza kabisa napenda niweke wazi mimi si mkazi wa dar ila kusoma tu ndo kulinifanya nifike dar bila hivyo ningebaki porini kwwtu kama kungekuwa na chuo kinafundisha yale...
Unajisikiaje unavotumia muda wako kuandika Uzi na kuuwathilisha humu ktk jukwaa pendwa la JF na kisha Uzi uo ukakosa kupata LIKE hata 1 lkn pia hata mchango wowote usipate toka kwa Members wa jf...
Mzuka Wanajamvi!
Huyu binti wa kizungu Ni mshenzi sana. Just look at those huge hips and arse. You can't pull off from that arse if you had a chance.
It's an arse that can make all your dreams...
Habari za weekend wana chitchat.Huu uzi ni wa kushauriana mambo ambayo hutakiwa kufanya kwenye first date na Yale ambayo ni mazuri unayopaswa kufanya kwenye first date.
Mtoko wa kwanza ni siku ya...
wakuu assume mtu umekuwa uki masturbate kwa week mara tatu au mbili kwa miaka kama mitano then ukaanza kuona effects kama ku loose concetretion na memory kuanza kuwa week, hapo tunasema ni effects...
Wadau kwema, ni miaka 32 tangu nilione jua, ila ni miaka 17 tangu nimeanza ku kwichi kwichi. Ila katika miaka yangu yote hiyo cha kugegeda sijawahi kutana na mtoto akiwa bikra aisee, kiukweli...
Ukitaka kujua huyu katoka mkoani siku chache tu zilizopita,
Akiwa beach muda mwingi atakua akipiga picha bahari, yaana atataka aonekane akiwa baharini kabisa.
Ukienda kwenye profile yake huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.