Since Magufuli has been the most mentioned name in Tanzania this past year, I think Oxford dictionary should consider creating a space for him in the dictionary. like;
Magufuli: /Ma-gou-fou-lee/...
HABARI WAKUU UKIWA UMEJIPUMZISHA KUTOKANA NA KAZI ZA HAPA NAPALE NIVYEMA KUCHANGAMSHA MIND SASA NIMELETA HAKA KASTORI ILI TUPOTEZE MUDA WA KULALA
Unaambiwa alikuwapo m bongo , mchina na mkorea...
Mimi ni mfanyabiashara wa vocha za simu.
nimeuza vocha toka hasubuhi mpaka jioni.
ilipofika jioni wakati nafunga duka,mteja akaja na kuniuliza "VOCHA SHILINGI NGAPI ?
mi nikamjibu bei ya vocha...
Nakupenda mom, umefanya mengi kwa ajili yangu
ulinibeba tumboni mwako miezi 9
wewe ndio unaejua ukweli wowote kuhusu mimi
wewe hukulala mpaka mimi nilale
wewe hukula mpaka mimi nile
hukuvaa...
Tumezoea kuna misamiati iliyoozoeleka katika mazingira fulani,...mfano humu kuna neno,ukilitumia watakuelewa membaz wa humu tu,...Twambie huko uliko simu za touch mnaziitaje?
Niaje wadau,
Swali kwa wale wenzangu na mimi tulioweka picha zetu kama profile picture humu JamiiForums, ama kunogesha zaidi wenyewe wakaita avatar.
Utajisikiaje siku mtu anaiba picha yako alafu...
Hapa JF kuna majukwaa mengi, kila mtu ana uhuru wa kupitia jukwaa analopenda kulingana na maudhui ya anachotaka kujifunza/kusoma mfano mambo ya elimu, siasa, mapenzi n.k
Binafsi napenda sana...
Mdada mmoja alienda kanisani kuungama,akaingia katika kichumba cha maungamo akapiga magoti mbele ya padri.akaanza kutaja dhambi zake.'dhambi zangu ni hizi,niliwatumia watu wengi sana messege za...
Imezoeleka kwenye mitandao ya kijamii kusikia kila kitu kibaya wanapewa wanaume wa Dar, ****"poor performance kunako 6/6, sijui eti vibamia, n.k
Yawezekana madai hayo in kweli, ila tukubali kuwa...
Nilifika harusini, na kukuta milango miwili, mmoja umeandikwa ndugu wa Bwana Harusi, mwingine wa bibi harusi; nikaingia wa Bwana Harusi. Mbele nikakuta milango mingine miwili, mmoja umeandikwa...
Habari za usiku wakuu.
Ninao mbwa wangu wawili midume yote, niliwahasi mapema miaka ya nyuma. Kila siku sa nne usiku ndo nawatoa toka kwenye banda lao.
Nilichokiona muda huu nimekasirika...
Kama kujiajili ni moja ya chachu ya kupata pesa basi naombeni mniongoze n wapi nitapata soko la kuuza MENDE?
Kama pia kutakuwa na kiwanda cha kusindikia hao wadudu naomba mnisukumizie huko maana...
Katika utafiti wa kijiografia huko Marekani, imegundulika kuwa katika sayari ya jupiter pia huishi binadamu kama sayari yetu hii ya dunia [earth].
Tofauti iliyopo kati yao na siye ni kwamba, sisi...
Heshima kwenu wakuu;
Hapa buguruni ilala dar kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu biashara za vifaa vya ujenzi. Hivyo basi leo nitajibu baadhi ya maswali machache nitakayoulizwa.