Wakuu salamu kwenu,mara paaap mshahara umeingia, nachukua kiasi kadhaa cha pesa kinachotosha kuhudumia familia kwa chakula kwa takribani siku 30 nampatia wife anunue mazagazaga ya nyumbani halafu...
Habari zenu wakuu.
Hii vita baridi kati ya wanaume wa dar na wanaume wa mikoani naona inazidi kushika kasi na sijui nani atakuja kuiamulia.
Nasema hivi baada ya kukaa na kulitathimini hili...
Huyu shemeji yenu alichonifanyia Leo sijui nifanye nini !
Nimetoka kibaruani kuuza duka la mchaga happy mjini nimechoka,si nikasahau kumletea mikate ya chai ya asubuhi.!!Eti anadai ndiyo matatizo...
UTAFITI MCHUNGU!!!
Maneno ya akina dada na maana zake halisi!
1. Nisalimie ma mkwe jaman= Mdada wa dizaini hii ni mcheshi,anajiamini, ni mama bora wa badae,ana hofu na Mungu ila usikimbilie...
Weekend naianza vibaya,
Baada ya kazi zangu zahapa na pale ikabidi niende kumsalimia Mama mzazi. Nilipofika tumbo likachafuka ikabidi niingie msalani(chooni), ile nafunga mlango wa choo nikasikia...
WIFE: Sweety, how many women have you slept with after we got married?
HUSBAND: (quiet)
WIFE: (10 minutes later) Sweety, I asked you a question
HUSBAND: (Quiet)
WIFE: (15 minutes later)Are you...
Habarini za j3 ILIYOTUKUKA waheshimiwa sana wana jamvi,nashangaa hii siku watu wanaiita eti blue Monday hata sijui kwanini haikuwa red Monday, black Monday au green Monday.....ok hata ivo hilo sio...
Ijue nguvu ya BUKU
Asubuhi..chai kikombe mia2,chapati mbili mia6 na maharage ya mia mbili mchuzi mwingiii...
Tayari hapo paka jioni tena!??BIKO paka Ni bahatishe noma sana.
Salaaam wakuu,
Za Jumamosi hiko hivi Jamii forum ina majukwaa mengi, sasa wengi wetu huwa tunaishia jukwaa la MMU, Chitchat, Elimu na dini hivi swali langu jukwaa gani haujawahi hata siku moja...
Mimi ni mtingaji, tupeane michongo ya machaka mapya, mambo ya kwenda kusotea hizo ni zama za kale! tuko kidigital sasa hivi, vipi uliko chaka linasomekaje?, vinachomoka? hr anadaka ngapi kutoa...
Ninawaza jinsi nitakavyopanua ka pensheni kangu wakati sina nguvucya kufanya kazi lakini ninahitaji kula na kutubiwa. Kama mjuavyo social security yetu bado changa kuhudumia wahenga.
Hiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.