JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Sasa nimeoa na nitawatumia pcha
0 Reactions
9 Replies
800 Views
Jamaa mmoja alienda kukata miti polini.. wakati anakata ghafla Panga lake likadondoka mtoni...akaanza kulalamika sana... malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia.. Jamaa akamjibu nimedondosha...
7 Reactions
12 Replies
859 Views
Marafiki wawili*(Elias na Ben)* walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu. Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo: Ben...
6 Reactions
7 Replies
2K Views
Baadhi ya ninayokumbuka na mambo mazuri toka hapa 1. Email toka kwa nisiyemfahamu kutaka nijiunge Jambo Forum mwaka 2006 2. Enzi ambapo Invisible alikuwa maarufu sana 3. Nakumbuka habari nyeti mno...
26 Reactions
81 Replies
5K Views
Vyuma vimekaza, grisi imekua shida kupatikana na watu tupo busy na maisha. Hivyo kwa namna moja au nyingine unawezajikuta unakosa muda wa kupata habari, kupitia uzi huu tuwe tunapeana updates ya...
2 Reactions
11 Replies
894 Views
sitosahau nilipokaa siku 3 bila kula nyama, nilihisi kuugua na kupelekwa hospitali, kabla hatujafika hospital niliingia KIOSK nikala kilo papohapo nikakaa sawa, sa hiv mimi ni mzima wa afya, lakin...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Ukikuta tango au ndizi kwenye friji ya single lady usile nadhani mtakuwa mmenielewa wanaume [emoji3][emoji3][emoji3]
8 Reactions
32 Replies
3K Views
Habar wana JF Katika pitapita zangu katika nyuzi za JF Nimekutana na ID ya le mutuzi ambayo ilikuwa active sana miaka ya nyuma. Lakini sasa hayupo active sana Jf huwa anakujaga tu...
4 Reactions
31 Replies
3K Views
[emoji121] WAKUU, TANZANIA NDIO NCHI PEKEE AMBAYO MATATIZO YA KWENYE JAMII BADALA YA KUFIKISHWA KWENYE NGAZI AU VITENGO HUSIKA ILI YATATULIWE, YANATATULIWA KWA NAMNA HII [emoji116][emoji116] Da...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wandugu namuhitaji jamaa ameweka Avatar ya nyumba ani pm please, atapata bandle la kuperuzi.
0 Reactions
23 Replies
1K Views
Wanahabari wenzangu. embu tujulishane ni memba gani humu awe ke au me siku mkionana live utahisi aibu au kujishtukia???!! Mara nyingi kama sio zote humu majukwaani hatujuani.kila mtu ana michango...
0 Reactions
6 Replies
719 Views
Nataja majembe ya mikoani yaliyotukuta wengine mtawataja na mtajitaja ,,nani anaefaa kuwa mwenyekiti na katibu wake Wanaume wa mkoani wanasifika kwa vitu vingi hasa nguvu nyingi za sehemu zote...
10 Reactions
561 Replies
32K Views
Ikiwa utaweka nia na ku-dedicate muda wako kujifunza na kufikiri ni applications gani waweza tengeneza na kufanikisha. Waweza jikuta unauaga umasikini bila kutarajia, kwani wapo vijana wengi sana...
0 Reactions
5 Replies
650 Views
Matabibu wanahangaika kila kukicha kunusuru ndoa za walio wengi wanaume wanakesha kwenye vibanda vya supu ya pweza wanaume wamekaa wakikereka na msemo wa wanaume wa Dar, wanaume wamekua wakikesha...
7 Reactions
92 Replies
29K Views
Wanajamii ninakama siku nne hapa mjini Tabora yaani nshaboeka na kazi ndio ipo nusu, ningependa kujua maeneo mbali mbali ninayoweza tembelea nikiwa hapa tabora ili nisiboeke. mfano: Sehemu za...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Mapenzi yana nguvu kiasi gani ? Pasi na shaka mapenzi yamebeba maisha ya mwanaadamu na huwezi kutengenesha maisha ya mwanaadamu na mapenzi hata mtu awe kauzu kiasi gani au busy kiasi gani lazima...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau nimeshuka leo Tabora kikazi.Tabora ya sasa sio kama ya zamani.Kinachonifariji ni hawa warembo mixer wa Uhazili, Watoto wazuri,wakienyeji na wa tauni.Wamepamba mji safi sana.mwezi jana...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
1 lazima na ww uwe bora kwanza 2 lazima ujiheshimu ww kwanza 3 kama unataka mwenye gari hakikisha na ww unalo nyau ww 4 ukitaka msomi na ww uneishia la 7 au fom 4 jua unajidanganya tafuta level...
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Wakuu za asubuhi.. Ningependa jua utaratibu uliopo kwenda nchi za Norway au Sweden.... Je visa yake ni bei gani au ni free of visa?? Na kingine kama kuna mtu anaweza Fanya connection anijulishe...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu shida ni nini kwani? Iv kweli duniani mliona wapi mtu akaleta habari, makala au swala flani tena akatumia muda mwingi kuandika na kuelezea alaf nyie walimwengu makumi kwa maelfu ila wachache...
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…