mmefuta uzi wangu ,,sisi hua tukikashifiwa hamfuti nyuzii,,wabebenii lakin ndio hivyooo
Eti cha nani hikii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hubert Humphrey once said, "The greatest gift of life is friendship,"
For your special day, I tried to find the right words to show you how I feel about our friendship. I could only think of one...
Recently there have been many videos in United States about video game named „VRChat". In these videos, jokes about character named „Ugandan Knuckles" are made frequently. I have some of these...
Habari wadau;
Naona vijana wengi sana wanatumia Ugoro,tena vijana wanaaonekana watulivu wanakula sana ugora mpaka inaanza kunipa tatizo
Swali:Je Ugoro ni mihadarati?na hivi unatokana na nini...
A Primary School teacher asked her pupils to writean essay on ”A wish you want from God?" At theend of the day, the teacher collected all the essaysgiven by her pupils. She took them to her...
Tumefanya kazi kubwa hapa jukwaani kuelimishana, kurekebishana na mambo mbalimbali, leo tukumbushane uzi wako wa kwanza kuuandika hapa JF. Mimi nilianza na uzi unaitwa "Tusalimiane kinyumbani"...
Wakuu nimeleta mrejesho wa uzi wangu niliokuwa naomba ushauri jinsi ya kuanza kunywa Ethanol, kiukweli nimegundua kuna kitu nilikuwa namiss, maana nimeuona ulimwengu ni wa tofautii sanaa kwa sasa...
Ukizoea kuiba aiseee hata ww mwenyewe unaweza kujiibia, ccm wameshinda kiti cha ubunge jimbo la songea mjini kwa kura 45162 huku waliojiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ni...
Nimemsikia baba mmoja akimweleza mwenzake kwamba sasa hivi watu wanamshambulia rais Trump wa marekani kwa kuwatukana watu watokao Haiti na Afrika kwamba watu hao wanatoka nchi za shilole na...
Mwalimu mpya wa history alifika class kufundisha mambo yalikuwa hv;
MWL: Nani alimuua mkwawa?
MADENTI:Sio mm mwl.kila dent.
mwalim akamwambia headmaster vituko vya wanafunzi,ajabu headmaster...
Asubuhi nimepiga deshi.
Saa 5 chapati 2 na chai jumla sh. 500.
Mchana andazi moja la Azam pamoja na MO passion, hapa ikiwa ni 700/=
. Jioni hii nimetumia 300 kununua mboga za majani, unga Upo...
Wavuta bangi watatu wamevunja duka la dhahabu ili waibe, [emoji536]
Mmoja kachukua dhahabu,
Wa pili kachukua pesa[emoji383][emoji385],
Wa tatu kakaa dukani,[emoji15][emoji15]
Mwenye duka kaja...
Wanaume wa Jamiiforum wana sifa kedekede za kuvutia na kufurahisha.
Kwa kuangalia Avatar, I'd na michango yao kwenye nyuzi mbalimbali .
Zifuatazo ni sifa za wanaume wa Jf Kwa utafiti wangu...
Mim bibi yangu upande wa baba ana vituko huyo,anaongea kuanzia asubuhi mpaka tunaenda kulala
Bibi yangu hua anaamka saa 12 asubuhi ole wako uchelewe kuamka ataanza kusema sijui mtaolewa na kina...
Kumbe hata Wazungu nao cha kuandika kinawagonga! Oneni hiki kama kiko grammatical
"Bye bye ! If your a fan only when a team is winning then your not really a fan that our great club wants"
wadau naombeni msaada wenu jimsi ya kupata connection na wigizaji apa bongo kwani nina kipaji kikubwa cha kuigiza na kutunga stori nzuri mfano wa stori zangu ni ,part of life, unexpected...