Aman iwe nanyi wapendwa
niko huku dar lakin kinachoniacha mdomo waz ni kwamba mkiwa mnapiga story na watu wa dar
Labda kiswahili au mwonekano utakuta wanakuuliza wewe jamaa mwenyeji wa wapi...
Kuna members hapa jukwaani wasisikie jambo hasa kwenye siasa, lazma waje hapa kufufua thread za kitambo ili kujikumbushia na kilichotokea sasa. Kwa lugha nyingine tunaita kufukua makaburi. Ni...
Piteni hapa tuzungumze faida na hasara kama zipo, zinazosababishwa na uwepo wa Gesi asilia
Pia hali ya maisha maana kwingine wanasema Vyuma vimekaza.
karibu!
Upo ndani ya daladala na
1.chris brown
2.rick ross
3.nicki minaj
4.beyonce
5.rihanna
6.msaga sumu
Mara paap!! umeibiwa kasimu kako ka techno,utamuhis nan????
.
Hapo vip!!
Leo katika pita pita zangu nikawakuta watu wanashangaa mbwa wawili walionatiana tokea asubuhi mpaka jioni.
Duh!!nikagindua Katika wanyama wote anayefaidi penzi sana ni mbwa,wengine...
Habari Zenu Wakuu[emoji63]
Ni wiki Kadhaa Zimepita Nikiwa Nimekosa FT access Ya JF kutokana Na Kula "BANNED"
Banner Banner Moods sijui Nilipokosea But nimejikuta Katika Ulimwengu
Mwingine...
Kumekuwa na trend ya wanaume tukilalamika kuwa wanaawake wanapenda pesa au wanatuomba sana pesa,mimi naona wako sahihi!!
Maisha yale ya kuvumilia mme/mchumba akiwa hana kitu kwa kigezo cha upendo...
For all you haters, players, gold diggers, friends, foes and family. I wish you merry Christmas and Happy New Year. No hard feelings, povu linaruhusiwa.
1. A daughter sent a telegram to her father on passing her B.Ed exams, which the father received as "Father, your daughter has been successful in BED."
2. A husband, while on a business trip...
Hallo.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.Jomoniii mnisamehe bure napopata muda kama hivi naleta mrejesho kwenu wana JF .Ni kuhusu mahusiano yangu na Mr Putin niliyekutana nae humu...