JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
1.Siwezi nunua gari kwa mkopo 2.Huyo bwana wake mkubwa kuliko yeye, alifuata pesa tuu 3.Iphone kitu gani, simu simu tuu bora mawasiliano 4.Siwezi kula chakula cha kwenye fridge 5.Anajifanya...
2 Reactions
54 Replies
9K Views
HELO MARAFIKI ZANGU LEO NI SIKUKUU YANGU YA KUZALIWA NINAJIPONGEZA KWA KUZALIWA TENA UPYA NINAMSHUKURU ALLAH KWA KUNIWEZESHA KUWA MZIMA MPAKA LEO KUIONA SIKUKUU YANGU YA KUZALIWA ALHAMDU-LILLAH...
5 Reactions
34 Replies
21K Views
Jana jioni nilimpitia mrembo flani jirani yangu kumjulia hali.wakati akinisindikiza tukapita sehemu kuna uwanja wa mpira ,basi nikaanza bwebwe kujisifia kwamba timu kibao zilitaka kunisajili...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Nilipotoka Magu sekondari ili kwenda shirika la Mapadre wa SFS nilifika Wilayani Kahama mwaka 1998 na kughairi safari ya kuwa Padre Mimi Deogratius Nalimi Kisandu na kuanzia Februari 1998 mpaka...
5 Reactions
34 Replies
8K Views
Samahanini wakuu, hivi na sisi wenye iphone7 na samsung s8 comments zetu tunachanganya humuhumu na wenye itel na tecno?!
0 Reactions
7 Replies
636 Views
Hili hapa linakuja... 1. Nawapongeza wale wote waliozaliwa mwezi huu wa 6.. Ntuzu wa tarehe ya leo, Passion Lady, kabanga, muuza ubuyu na wengine wote nawatakia maisha mema, marefu...
22 Reactions
463 Replies
26K Views
Habari zenu wadau!! Nitoe udaku kidogo, baada ya wahusika wakuu Baba V na TANMO kuishiwa habari. This is udaku special edition!! 1. Bishanga atoweka Jf baada ya kuoteshwa kitu kibaya...
12 Reactions
356 Replies
19K Views
Najua unafuraha sana kufika katika siku hii ya Leo. Furaha yako ndio uzima wangu. Kuzaliwa kwako kumeifanya dunia istarehe Kwa kuwepo mrembo kama wewe. Natambua nafasi yako katika Mtima wangu...
7 Reactions
110 Replies
6K Views
Wakuu habarini za Jioni! Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza, ninaomba kutoa masikitiko yangu kwa hawa wadada humu JF wanaotangaza kutafuta wenza. Hawa nimegundua kuwa wapo humu...
0 Reactions
3 Replies
694 Views
Wadau Kwema Nin Unacho Kumbuka Katika Huu Mwez Wa 12 Mwezi Uliijaa Mambo Mengi Zaid Kikistro Huu Mwez Una Mana Kubwa Sana Mim Binafsi Nakumbuka Huu Mwez Ukisha Ingia Tareh Kama Izi Mzee...
0 Reactions
20 Replies
1K Views
ha ha ha ha ha ha ha ha!! uuuuuwi....teh teh teh teh teh....!!! oooh!! ha ha ha ha ha .......nakufa mie kwa kicheko....hahahahahaha!! aloo ni noma...teh teh teh teh!! dah! jamani acheni tu...
4 Reactions
186 Replies
23K Views
NImesikia hili swala mara nyingi sana yaani akili za darsani na za maisha....! Je Akili za darasani ni zipi na za Maisha ni zipi!? Naomba Kila Mtu Ajibu kwa mtazamo wake...ili Kila mmoja again...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Shimboni Shanii. Kama kawa kama dawa, mwenye wivu nampa kamba ya buree. Haina kweree, hainaa nomaaa. Leta maneno hapa chalii, semaa hii kirisimasi tuauliaa wapi we jamaaa. Mimi nimejichanga vya...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
MKOSI NI NINI Mkosi ni pale umekutana na dada mzuri barabarani , ghafla upepo mkali ukafunua sketi yake .. Na wewe Jicho lako likaingia mchanga .. Utatamani kuwe na...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
*Sasa Hivi Hata Yale Magari Ya Kuvuta Mavi Wanalia Njaa, Wanasema Biashara Ngumu.* *Na Ukiangalia Ni Kweli Kwa Sababu Mtu Anakula Chips Kavu Na Soda; Ni Lini Choo Kitajaa?* #.
7 Reactions
30 Replies
3K Views
wakuu kama Kichwa cha thread kinavyosema nina simu yangu mpya nimenunua toka Ebay sasa ipo netwek locked ya kibongo....! kama wewe nimtaalamu wa kufungua nipe S5 32Gb mimi Nikupe Hii S6 64GB...
0 Reactions
22 Replies
1K Views
Yani nimekumbuka ile movie ya shaolin soccer ya wachina walivyokuwa na vitimbi Wabongo nao wamekuja na kwao
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Jana nilikuwa natoka zangu Dodoma kuja Arusha kwa kutumia usafiri wa basi la (...) Nilikaa siti ya dirishani, pembeni alikuwepo dada moja mrembo kweli. Muda wote alikuwa busy na simu yake...
11 Reactions
48 Replies
4K Views
Wadau, Ni December sasa. Na ni mwezi wenye matukio mengi sana makazini, mabarabarani na siasani. Naomba December hii tuchukue fursa kuombea taifa letu na tuombe msamaha kwa makosa ya kibinadamu...
1 Reactions
3 Replies
687 Views
Kuna kipindi ulitokea msiba kijijini,sasa Bi.Mkubw na ndugu wengine ikabidi waende maana marehemu alikua Mtu muhimu kwao (shangazi yao,ndie aliebaki katika ukoo wa kina babu).Basi Maza kaniagiza...
1 Reactions
4 Replies
732 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…