Kama mnavyojua wana Jf leo nimewaletea aina mbili za Mke Aina zenyewe ni hizo hapo[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
1:Aina ya kwanza ni mke anayemsikiliza mumewe, anayemtii na kuelewa...
Kwa wale wazee wa kuweka mizigo, wazee wa soka , kabumbu a k a football, wanajua vizuri usajili wa wachezaji wa mpira. nakumbuka katika mikutano mara kadhaa nimemsikia kocha msaidiz mmoja akisema...
Umekuwa single tokea mwezi wa kwanza mpaka wa 11 na umetafuta mpenzi hukubahatika kupata, cha ajabu mwezi wa 12 umefika tu gafla umepata mpenzi [emoji38][emoji38]buraza usikubali, shetani anataka...
Hi.
Kuna msemo mmoja huwa ni amazing sana kutamka mdomoni mwako. Unakufanya ujisikie god/godes. Lakini unawasha sana masikioni mwa muambiwaji. Unajenga chuki,unaharibu uhusiano,unavuruga...
Na kushukru Mungu Muumba mbingu na nchi kwa kuninyima kipawa cha Siasa. Sasa nakuomba Mora wangu uwanyime na uzao wangu kipawa cha Siasa utujari kazi yoyote ya kutupa ridhiki ila siyo ya Siasa...
Ifuatayo ni miradi mikubwa iliyofanywa na serikali ya awamu ya 5.
1. Ununuzi wa ndege za abiria
2. Ununuzi wa viongozi wa vyama vya upinzani
3. Ukamataji wa wananchi wanaotoa taarifa za...
Sekta ya majengo inatupa raha sana hapa bongo, ametoka 900 itapendeza sasa kaingia Expansion Joints yaani full shangwe!! Je, nani ataibuka kidedea?.......alamsiki!
Duuuh. Sijui mnyeki yule ndo anayenunua. Please fanyeni hivyo basi.
By the way, mtu yeyote atakayefanikisha ununuzi wangu atakula commission 10% kama ada ya agent. Fursa hio wakuu.
GuDume kabananishwa leo kazoea kuwabadili badili mara mbunge ,mara wa ofisini mara sijui nani wa jf mpaka watu wanakuja kulia humu sasa leo kakutana na dawa ya moto,,
hii ndio hali aliyonayo...
Hivi huwa mnaona fasheni au?Mi haijawahi kunitokea hii na wala sitegemei,rudini kwenu shamba mnang'ang'ania huko mjini kugombania kodi za majumba ya urithi wakati huku mashamba kibao mi ni mkulima...
Pombe ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na pesa mfukoni, Nitakapopita katika vichochoro na mabonde ya vibaka, sitaogopa maana nitakuwa nimelewa chakari, kwenye mitaro ya maji machafu hunilaza...
Chizi flani mwanamme kaingia msituni akiwa
uchi, wanyama wote kumuona tu
wakakimbia.
Fisi akakutana na simba pia
akiwa mbioni akamuuliza,
"Hata wewe simba umekimbia?"
Simba akamjibu, "Wee...
Mwanadada Demiss, almaarufu kwa Mada zake tata sana!! Hapa Jamii forum, tulishuhudia akionyesha kipaji chake kingine cha uchoraji. Wapo Baadhi ya member aliwachora kwa umaridadi Mkubwa...
Napenda kuwajulisha wanajamvi wote ili kuwajulisha kuwa muda wowote kuanzia sasa nitaitisha Press conference ili kutangaza kujivua uana jamvi wa Jamii Forum,ili kuunga mkono jitihada zinazofanywa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.